Kwan mess nae ni mtakatifu kma kina Gerrard au:what:
Barca ni tmu ya kawaida tofauti na nyie mnavyosifia
Matatizo ya mashabiki midtable team usumbufu kwa wnzao
messi ni king
ha ha ha ha ha ha ha ha ha ha sasa unawazarau arsenal kupigwa 4 na messiKing gan anaonesha uwezo kwa tmu moja tu na akiwa national team anakua mtupu namashaka na uwezo wake mess nadhan n mbaatishaji
King gan anaonesha uwezo kwa tmu moja tu na akiwa national team anakua mtupu namashaka na uwezo wake mess nadhan n mbaatishaji
Uliangalia mechi ya Argentina juz?
ha ha ha ha ha ha ha ha ha ha sasa unawazarau arsenal kupigwa 4 na messi
Barcelona ni kama serikali na serikali ni kama jiwe ikikuangukia unaumia na ukiiangukia unaumia
Kma king anioneshe uwezo na national team sio barca mnako mbeba
Uliangalia mechi ya Argentina juz?
fifa world cup u20 pia fifa world cup olympic U 23
ha ha ha ha ha ha ha ha ha kumbe miaka 23 au 20 bdo mtoto na hii ndiyo sababu mnasajili wakina ings nyie liverfoolMech za watto sifatilii naitaji nimuone copa america hii akionesha uwezo ndpo nseme amefikia uwezo wa dona
ha ha ha ha ha ha ha ha ha kumbe miaka 23 au 20 bdo mtoto na hii ndiyo sababu mnasajili wakina ings nyie liverfool
Ssa miaka iyo ni mkubwa au bado ni chpkizi:what:
na hata akibeba copa america utakuja na visingizio vyengine tushawazoeaMech za watto sifatilii naitaji nimuone copa america hii akionesha uwezo ndpo nseme amefikia uwezo wa dona
na hata akibeba copa america utakuja na visingizio vyengine tushawazoea
hujaona alichokifanya kwa sababu si fan kwako lakini hilo goli alotia agero angalia replay halafu uje kutoa sababu nyengineNiliangalia na sikuona jambo la ajabu kwake bado ajanishawish ni bora ya yule garasa la man u di maria