FC Barcelona (Barça or Blaugrana) | Special Thread

FC Barcelona (Barça or Blaugrana) | Special Thread

na hata akibeba copa america utakuja na visingizio vyengine tushawazoea

Mchezaji gan mnaesifia anashndwa kuibeba national tm japo ubingwa wa copa amerika tu lkn nyie mnazd kumtukuza kua etii ni bora wakati bora n kina watakatifu gaucho dona Pele ambao walizbeba tmu zao za taifa tofauti na uyu pimbi mnaempa sifa
 
Mchezaji gan mnaesifia anashndwa kuibeba national tm japo ubingwa wa copa amerika tu lkn nyie mnazd kumtukuza kua etii ni bora wakati bora n kina watakatifu gaucho dona Pele ambao walizbeba tmu zao za taifa tofauti na uyu pimbi mnaempa sifa
usimuite pimbi sababu huyo ni kiboko ya makipa
 
Yafaa tutambue mess ajafkia levo za kuitwa gwiji lkn nyie mnapiga kelele kanakwamba ashafkia levo za kuitwa gwiji
messsi.majina mazur yote yake chipukiz king legendary gwiji mzee wa vidimbwi n.k MKUU WEWE UMENISHINDWA WASAP KULE
KUNA KINA NTUZU je hapa NOU CAMP utawezaaaaa????
 
Mbka gwiji utambui vigezo vyake daah yafaa nitoe darasa upya kwa mashbk wa barca
 
Wee mtu akianza kumsema messi mwache tuu yule jamaa haongei yee ni vitendo tuu hilo lina juulikana ila kwa wale wanao jua soka si humu jf watu wanao ongelea ki ushabiki wa timu zao na ukiangalia sana utagunduo ni timu ambazo messi ameshasha ziumiza sasa hua hawana sababu za kuongea wanakuja na porojo tu yule anasema messi hafanyi kitu kwenye national team yule sijui anabebwa na xavi mara dani anambeba mara uefalona eti hajachukua world cup lakini amefika final kuna siku watamkubali baadhi yao wamesha mkubali pengine akianza kuja kucheza katika timu zao wanaweza wakamkubali
 
Wee mtu akianza kumsema messi mwache tuu yule jamaa haongei yee ni vitendo tuu hilo lina juulikana ila kwa wale wanao jua soka si humu jf watu wanao ongelea ki ushabiki wa timu zao na ukiangalia sana utagunduo ni timu ambazo messi ameshasha ziumiza sasa hua hawana sababu za kuongea wanakuja na porojo tu yule anasema messi hafanyi kitu kwenye national team yule sijui anabebwa na xavi mara dani anambeba mara uefalona eti hajachukua world cup lakini amefika final kuna siku watamkubali baadhi yao wamesha mkubali pengine akianza kuja kucheza katika timu zao wanaweza wakamkubali
na tevez juz kasema ukimchukia messi hujui mpira kwa wenye uelewa wataelewa kuwa kabla ya kuufatilia mpira MPENDE KWANZA.MESSI
 
Mchezaji gan mnaesifia anashndwa kuibeba national tm japo ubingwa wa copa amerika tu lkn nyie mnazd kumtukuza kua etii ni bora wakati bora n kina watakatifu gaucho dona Pele ambao walizbeba tmu zao za taifa tofauti na uyu pimbi mnaempa sifa

Sasa hivi wanaocheza Nani gwiji hivi?halafu ngoja nikuulize Eusobio/cryuf walikuwa magwiji au?
 
Back
Top Bottom