Mlivyoonjeshwa kale kamoja kama vile naona ulivyonywea
Kama kawa kama dawa mtoto yake nepi Wale mabingwa wa UEFA CHAMPIONS LEAGUE Fc Barcelona leo wapo uwanjani nchini Italy jiji la Papa wa 16 Namaanisha Roma Leo mnyama mkal King Messi atakuwepo akiwashangaza waitaly na midevu yao akiwafundisha mpira wa kikatalonia MECHI ITACHEZWA SAA 3:45 usiku ila kumbuka ukichelewa dakika 5 utamkuta mtoto wa Rosario kashafanya yake wale wanafk na mamluk watasubir saaaaaana wapi mamaa atoto Na wazee wa fc Barcelona Danny green chebi Aleyn na wadau wengine Tuko hapa mda huo tukichukua point 3 na magoli lukuki
Mtoto hanipendi huyu si ndo umemfundisha wewe anifanyie hivi,poa tu mi leo mtazamaji tu......
Whyyy!!!! Najua kabisa haka ni katoto tu ila kameharakia maisha na kuja kuparamia mitandao ya wakubwa....hahahaha
pole bibie
Whyyy!!!! Najua kabisa haka ni katoto tu ila kameharakia maisha na kuja kuparamia mitandao ya wakubwa....hahahaha
Asante mwaya
mamluki huyo hana tofauti na cute b
nakuonea huruma kwa kuwa unamshabikia shetani
Sawa msaga sumu...
All the best
Sina la kuongea sbb Barca ni mchepuko wangu .....leteni mirejesho Mbona mnakimbia jukwaa mpaka uone goli ndo uje na kelele zako.ha ha ha haaaa haaa ha ha ha ha ha ha sio kosa lako ila ni dozi ya PSV
Sina la kuongea sbb Barca ni mchepuko wangu .....leteni mirejesho Mbona mnakimbia jukwaa mpaka uone goli ndo uje na kelele zako.