Buenos Aires
JF-Expert Member
- Dec 29, 2015
- 1,894
- 1,622
Week hii acha kabisa yaani bado nimezidi kunenepa tu kicheko kila mahali,next Barca anacheza na nani?
😀Mpaka unashindwa kutembea
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Week hii acha kabisa yaani bado nimezidi kunenepa tu kicheko kila mahali,next Barca anacheza na nani?
baada ya li saa moja na roboGame sa ngap aisee
[emoji106] [emoji106]baada ya li saa moja na robo
Best Mbona umewapa ujiko sana hilo moja wamefungia wapi???? Ni 2-0HT 2-1. vallecano wana red.
Hii ndo Barca, magoli ya ajabu yanapatikana EPL kwa Man U na vibonde vingine.dk ya 52 king anafunga tena. 3-0. goli lilikuwa no moves nzuri sana.
magoli ya kubahatisha na yaliyokosa ufundi. Suarez kapiga penalty kwa hasira kipa katema. dk 69 3-1.Hii ndo Barca, magoli ya ajabu yanapatikana EPL kwa Man U na vibonde vingine.