FC Barcelona (Barça or Blaugrana) | Special Thread

Hahhahahha dady Leo unakana maneno yako???? Nikasake post yako uliyokuwa ukiisapot arsenal wasikuangushe kuifunga Man U????? Poyeeeeeeee lol mifanoooooo kibao!!!! Allergy hii noma muone daktari tafadhali still loving you my dady sipendi nikupoteze sababu ya Man U!!!!!
 
[emoji122] [emoji122] [emoji122] [emoji122] [emoji122] [emoji123] [emoji123]
 
Nani aiwaze Man U!? Unataka kusema naionea wivu ama? Mbona wewe unayeipenda Man U umeiacha na kuja huku, nani anamuonea wivu mwezake sasa!?
Huku tuko camp Nou habari za OT unazitoa wapi km siyo wewe mwenye matatizo, poyeeeeeeeeee!!!!!
 
Reactions: PNC
My daddy tafadhali muone daktari hii allergy yako imefika pabaya, you can't make black to be white oooohhhhh!!!!
 
Reactions: PNC
Huku tuko camp Nou habari za OT unazitoa wapi km siyo wewe mwenye matatizo, poyeeeeeeeeee!!!!!
Tupo Camp Nou kama kawaida ila Waswahili wanasema kwenye safari ya mamba, kenge nao wapo. Wewe unajifanya shabiki wa Barca ila wewe ni Man U damu, so wewe ni JIPU. Ndo maana nilivyokutumbua kuhusu Man U yako umeanza kuitetea. PNC 1 na jackline1 embu njooni mumshike vema huyu Binti ili nikiendelea kumtumbua asipige kelele kuamsha watu, si mnajua sasa hivi ni usiku sana.
 
suarez na Neymar wangekuwa na composure kama ya messi punde akiliface goal-Barca ingekuwa inafunga double figures kila siku
double figure!🙂 Messi ana utulivu wa kustaajabisha anapokuwa golini. ile kapewa na neymar kaichonga pembeni mbali na kipa. au lile aliwapiga Arsenal. goli zake siyo butuabutua.
 
Pepo wa Man u ashindweeeeeeeeeee kwa jina la MESSI aliyewaua pale wimbley kwa goli 2
 
My daddy tafadhali muone daktari hii allergy yako imefika pabaya, you can't make black to be white oooohhhhh!!!!
Embu ngoja nikuulize swali moja kidogo, unasema nina Alej na Man U, hivi unaweza ukaifananisha Man U na Barca? Niwe na Alej nayo kwa kipi hasa? Kuna kitu Man U ilichoizidi Barca? Embu nijibu haya maswali kwanza.
 
Reactions: PNC
Hahhahahha poyeeeee my dady unazeeeka vibaya sana always I tell you Man U is my soul Barca is my heart.......everlenk is everlenk,Vamos Barca !!!!!embu niache nilaleeeeeeeeeeeeee!!!!!!!! Usisahau kumuona daktari.
 
Pepo wa Man u ashindweeeeeeeeeee kwa jina la MESSI aliyewaua pale wimbley kwa goli 2
Ahahahahahahaahahaha mashabiki wa man u bhana, timu zao zikienda kombo wanatafuta timu za kujifarijia.
 
Reactions: PNC
Embu ngoja nikuulize swali moja kidogo, unasema nina Alej na Man U, hivi unaweza ukaifananisha Man U na Barca? Niwe na Alej nayo kwa kipi hasa? Kuna kitu Man U ilichoizidi Barca? Embu nijibu haya maswali kwanza.
mchezaji bora pale barca ni messi na mchezaji bora anayetegemewa man u ni rashford [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] kutoka beckam had mkikuyu wa kenya
 
mchezaji bora pale barca ni messi na mchezaji bora anayetegemewa man u ni rashford [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] kutoka beckam had mkikuyu wa kenya
Ahahahahahahahahahahahahaha!!!
 
Reactions: PNC
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…