[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] hapana chezea vuvuzela mou na bila kumuwai alikuwa anawarudisha ligi 2Hahahaha hadi mashabik wa chelsea mpo kwenye huu uzi.. nasikia chelsea anaongoza ligi epl mkuu
mkuu hujaachaga kutumia wanzuki au unataka nije jukwani kwako nikujazie seva kwa picha za MESSI
Embu mchukue everlenk ukampe dawa baada ya kutumbuliwa. Naona anahisi maumivu sana ndo maana kaaga. Kampe dawa huko alipo.
We Ngosha vipi wewe kwani hairuhusiwi kupita huku?Hahahaha hadi mashabik wa chelsea mpo kwenye huu uzi.. nasikia chelsea anaongoza ligi epl mkuu
Sijakataa mtu kupita maana huu ni mpira utani wa kimichezo upo ila nimeuliza tu eti kule kwenu mnaongoza ligi mkuuWe Ngosha vipi wewe kwani hairuhusiwi kupita huku?
Kupita huku ila hatutaki unafiki, eti shabiki wa Man U uje uipende na Barca pia wakati huohuo. Na zikikutana utashabikia Man U, yaani unaiita Barca mchepuko wako, hii tabia hatutaki kabisa huku.We Ngosha vipi wewe kwani hairuhusiwi kupita huku?
Kupita huku ila hatutaki unafiki, eti shabiki wa Man U uje uipende na Barca pia wakati huohuo. Na zikikutana utashabikia Man U, yaani unaiita Barca mchepuko wako, hii tabia hatutaki kabisa huku.
Hahahaha mimi naamini hakuna shabiki wa man u au arsenal atakaeipenda barcaKupita huku ila hatutaki unafiki, eti shabiki wa Man U uje uipende na Barca pia wakati huohuo. Na zikikutana utashabikia Man U, yaani unaiita Barca mchepuko wako, hii tabia hatutaki kabisa huku.
Pep mwehu na tushawahi kumjadiligi humu ndani.We mbona ni mchepuko wa Pepp Guadiola na hatusemi
Mbona Chelsea huitaji au ni mbabe wenu bwahahahahaaaaHahahaha mimi naamini hakuna shabiki wa man u au arsenal atakaeipenda barca
yani hili jambo nishawaambia Moderator mara kibao ila wanekuwa wapuuziaji Ni inatia aibu club kama Barcelona kuwa na picha ya zaman isiyo na maelezo kiukwel Paw hebu msiwe mnajifanya mko biiiize mnatuumiza mioyoMkuu Cookie naona upo online. tunaomba mtubadilishie hiyo picha ya kwanza na yawepo na maelezo ya historia. ni aibu kwa klabu bora kabisa duniani.
Makubwa leo hii kawa mwehuPep mwehu na tushawahi kumjadiligi humu ndani.
hehehe. kuna siku tutazeeka watu wataulizwa na wajukuu. zao. ''babu hivi Messi alikuwaje?" watajibu "Messi alikuwa hatari, anapita mabeki kumikumi" kumbe hawakumuona, walikuwa bize kuangalia butuabutua ya EPL. hivi unakosaje burudani la Barca?Umeniona mimi nikishabikia Arsenal? Sijawahi kuipenda timu ya yoyote ya EPL. Mimi sipendi vibovu kama wewe.
Hivi mimi na wewe kila mtu akitaja timu yake mbele za watu nani ataonekana kicheko. Hivi kizazi hiki bado mtu unashabikia Man U kweli!? Burudani yote itolewayo na Messi, Neymar, Iniesta na Barca kwa ujumla bado unashabikia Man U?
Hivi ninyi mara ya mwisho kubena UEFA lini!? Miaka ya Karibuni mmewahi hata kuingiza Mchezaji ktk Ballon D Or? Miaka ya Karibuni hata hatua ya mtoano UEFA hamuijui, wapongezeni Arsenal mnaowaponda walau wamefika huko.
Mwisho kabisa, WATU WANAHAMA DINI WALIZOZALIWA NAZO, SEMBUSE TIMUUUU!? Njoo Barca moja kwa moja, achana na hao viwete Man U.
leo unajiskia kuisema BARCELONAMbona Chelsea huitaji au ni mbabe wenu bwahahahahaaaa
Ukitumwa timu yenye mashabiki wengi epl utapeleka chelsea mkuu its negligble compared to arsenal na man uMbona Chelsea huitaji au ni mbabe wenu bwahahahahaaaa
Kalale ukue wewe mtotoleo unajiskia kuisema BARCELONA
[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23]hehehe. kuna siku tutazeeka watu wataulizwa na wajukuu. zao. ''babu hivi Messi alikuwaje?" watajibu "Messi alikuwa hatari, anapita mabeki kumikumi" kumbe hawakumuona, walikuwa bize kuangalia butuabutua ya EPL. hivi unakosaje burudani la Barca?
[emoji28] [emoji28] [emoji28] [emoji28] [emoji28] [emoji28]hehehe. kuna siku tutazeeka watu wataulizwa na wajukuu. zao. ''babu hivi Messi alikuwaje?" watajibu "Messi alikuwa hatari, anapita mabeki kumikumi" kumbe hawakumuona, walikuwa bize kuangalia butuabutua ya EPL. hivi unakosaje burudani la Barca?