FC Barcelona (Barça or Blaugrana) | Special Thread

Unatumia vigezo gani kusema barca ni timu bora? Okei, ni timu bora ila sio kama mbabe wao R. Madrid. Kwa taarifa yako timu bora ya dunia ni R. Madrid ma imeizidi Barca kila kitu, kuanzia vikombe mpaka nani kamfunga mwenzake mara myingi.
Siyo timu bora Kama usemavyo lakini unakesha ukiifuatilia usiku na mchana inakuumiza kichwa bila Shaka kuna kitu kizuri ilichozidi hiyo Madrid. Madrid hamuwezi mkachukua UEFA hata kwa kuloga.
 
Naona imefika hatua sio kila kitu wanjan inabd afanye messi..i believe jana zile free kick mbili alizopiga messi hazikuwa ktk upande wake yy kupiga,ila kwa kuwa yy n mwamba akapiga na zote kapaisha..neymar n mzur sana ktk freekick za upande wa kushoto naamin messi angefuata protocal bas mpira ungeenda hata extra time...
 
tumesha tolewa kwa sasa nguvu zetu zielekee kwenya la liga tusubiri msimu ujao kwa ajili ya uefa naamini watu wengi hususan mashabiki wa epl kutolewa kwa barca ni furaha sana kwao kuliko timu zao kufika alau robo final ila tunawambia barca itabaki barca na record tuliyoiweka hizo timu zenu hazitaikaribia hata chembe visca barca visca catalunya
 
Barcelona imetolewa! Hivyo uefa haina ladha yeyote from now, without Barca nothing,,,

mashabiki na wasiokuwa mashabiki wa Barcelona duniani kote hawatojishughulisha na kufuatilia mechi zilizobakia..maana hazina kivutio chochote, coz bila kuwepo baba yao wa familia kila kitu kinaharibika, Poleni sana ma-fans wa baca, best club in the world na itaendelea kushika no1 forever.
 
Mkataba wa Stegen ni kuanza mechi za UEFA kama hujui. Unashangalia lakini hujui. Bendera bana
Wahurumie plastic fan mkuu, wao ni washangilia ushindi tuu!
mambo mengine hawayajui
 
Bangi ni hatari sana.
 
Mkuu huyo ni Barcelona tusigombane wenyewe VIVA BARCELONA
mashabiki wa mkopo wa barca mnachanganyana mtakuja kupigana wenyewe kwa wenyewe humu jukwaaani!

tehe tehe tehe wapi Nessi, suzi & neema!
 
Champions league goals
Messi = 4
Suarez =8
Neymar =3
Total = 15
Cr7 = 16
Final equation
MSN + 1 = CR7
 
Champions league goals
Messi = 4
Suarez =8
Neymar =3
Total = 15
Cr7 = 16
Final equation
MSN + 1 = CR7
...hebu ondoa zile goli alizoifunga Malmo,sijui zitabaki ngp?!
 
Ni wewe tu na ndo maana tuna mkosi Barca, toka lini Man U ukaipenda na Barca, embu nenda Madris uone kama Barca hatujabeba UEFA mara mbili. Dah, siamini kama tumetoka.
Acha kukariri kakaangu weeeeee!!!!! Mi siyo shabiki km nyie Mi ni mwanasoka ......
 
...tatizo huku huwezi jua nani mtt, nani mtu mzima,nani yuko sawa,nani zezeta,ndio shida ya jf!
hilo ni tatizo lako la uwezo mdogo ulionao, ila mimi nikikusoma btn the line nakuelewa jinsi ulivyo zezeta na ulivyo mtoto!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…