FC Barcelona (Barça or Blaugrana) | Special Thread

Thread ya Barca tayari ipo so ziunganishwe
Ushauri:Kabla ya kupost thread ni bora uangalie kwanza kama thread kama hiyo ipi ili kuondoa redundancy ya thread
 
Hata mimi nazipenda zote, klab zote ila, from the bottom of my heart, I HATE MAN U! Sielewi kwa nini, lakini nawachukia sana ma'freemasons' wale!

Same here,i really hate that team...agrrrrrrrr
 
Hakujawahi kutokea kikosi kama cha sasa hivi katika historia ya soka.EVER!!!!!!!:A S crown-1:

Umeanza kushabikia soka lini mpaka useme hakujawai kuwa na kikosi cha soka kama hiki cha sasa barcelona..

barcelona ni timu nzuri sana tu lakini sentensi yako tata. Kuna miaka timu za uholanzi kama ajax zilikuwa ni tishio. Kuna vikosi kama vya Ac milan nayo vilikuwa ni tishio. jaribu kutazama na vipindi vya soka vya zamani utaona

Kuna real madrid ya kipindi cha yule kocha del bsques. alikuwa haacheki. Kina zizou.
 

Sasa wadau, wachambuzi, wapenzi, waangalizi, mashabiki na waandishi wa habari, je Barcelona ya sasa ndio timu bora zaidi kwa ngazi ya klabu kuwahi tokea duniani ?


Mkuu swali lako ungelijenga vizuri zaidi: Ila nakubaliana na wewe kwamba Barca kwa sasa ndio timu bora ya kandanda duniani japokuwa sikubaliani nawewe kuwa Barca ndio timu bora kwa ngazi ya klabu kuwahi kutokea duniani.

Wataalam wa kabumbu tayari wamesha kuletea data kukuonyesha z/ipi ni timu bora za kandanda zilizowahi kutokea duniani.....
 
mnaongea sana,ngoja niwasaidie AC MILAN ni kinara wa karne kwanza wachezaji wake waliopita hapo wanatisha,hawapo tena ktk ulimwengu wa soka.nini barcelona bwana?? mtaacha watu watapike chakula.
 
mnaongea sana,ngoja niwasaidie AC MILAN ni kinara wa karne kwanza wachezaji wake waliopita hapo wanatisha,hawapo tena ktk ulimwengu wa soka.nini barcelona bwana?? mtaacha watu watapike chakula.

Mkuu Statistics zinaweza zikasomwa vyovyote..., ukitaka ninaweza nikacompile data hapa nikakwambia kwanini Notingham Forest ni timu bora, anagalia post no. 30.., kwahiyo ukiongelea ubora useme vigezo tunaangalia nini.
 
mnaongea sana,ngoja niwasaidie AC MILAN ni kinara wa karne kwanza wachezaji wake waliopita hapo wanatisha,hawapo tena ktk ulimwengu wa soka.nini barcelona bwana?? mtaacha watu watapike chakula.

Umenena vyema kweli.
Milan ndio timu yenye vikombe vingi zaidi vya kimataifa na pia ndio klabu iliyochezewa na nyota wengi zaidi ktk historia ya Soka.

Hao Madrid mataji yao ya kimataifa yooooote ukiyajumlisha unapata 15.

Haya nenda kwa Buluda a.k.a Rossoneli ama Diavolo kisha utagundua kachukua ndoo ngapi...
 
nyie mlioiorodhesha chelsea tutakeni radhi wapenzi wa soka kha!
 
Haya haya kumekucha na makucha yake.namsaidia invizibo torres kuianzisha thread hii hahahaha!najua ataiendeleza tu.

Leo mambo si mambo lakini teamo ameitupa karata ake kwa arsenal!

Amani kwenu wana jf
 
Naambiwa jibaba puyol hayupo leo sijui ni hii ballantine au la!

Namtabiria mambo makubwa sana samir nasri!lazima acheke na nyavu
 
Klorokwin mpwa angu upo?
Tusaidiane kutoa updates hapa
 
tupeni matokeo wadau, tupo ktk janga la mabomu huku ukonga ....
 
nini kinaendelea? uchungu wa mabomu umenikosesha hamu ya kukaa mbele ya screen!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…