Nimeipenda hii! Sisi Barca Ball possession ni utamaduni wetu, hatuogopi kufungwa ila tunaogopa kuzidiwa soka, tukifungwa na halafu tukazidiwa possession hata kibarua cha Pep kitakuwa matatani.
kaka nadhani tusubiri hadi tarehe 28 tuone,mimi binafsi barca,na ktk soka naamini vitu hivyo vinatokea,nina mifano italy kuanzia 1970 hadi leo kila baada ya miaka 12 inacheza fainali world cup,hiyo mifano uliyonipa ya wacheza tennis sijui wakimbiza farasi simo,nipe mifano ya soka,eg algeria kila ikicheza na nchi zetu eg tz,kenya,uganda au sadc kwa ujumla inafungwa ila ngoja wacheze na nchi kama egypt au morocco au hata kisoka zipo juu kama nchi za magharibi utawakataa kuamini wanafungwa na nchi za east afrika,soka naliheshimu na mara nyingi nafuatilia sana soka nilishakula hela za wa2 1998 fainali france vs brazil,watu walinibishia brazil wanacheza sana ball,soka usiangalie eti timu ikicheza boli tu basi inajua kuna kitu pia historia inamata sana ktk soka,mimi ungeniambia barca nayo inaujulia vizuri wembley nikngekuelewa maana ilishawafunga aseno 4-2 mwaka 2000 wakati huu highbury hauruhusiwi ktk uefa champs ligi hatua ya makundi hapo wembley na sampodoria 1-0 fainali,kwahiyo tusibishane sana,tusubiri mpaka tarehe 28 ndipo uje na pointi zako kama kunikosoa,maana sasa ni mapema,najua unadhani labda nasapoti man utd hapana la,ila england naheshimu timu 2 ambazo hazina masihara ktk mechi za kimataifa liverpool na man utd,kama bongo simba,na ndio maana ni simba pekee bongo ndio imeweza kufunga timu za misri zipatazo 5,ahly,zamalek,ismailia,arab contractors na mehalla el kubra zote bongo,ila ikienda misri kichapo,hiyo ndio mifano inayonifanya soka mimi niamini historia na rekodi,sio chenga twawala,barca ya sasa naikubali inacheza team work tofauti na wakati ule ilikuwa chenga twawala haina mafanikio,ila mechi yao na man utd,naipa nafasi man utd kufuatana na rekodi niliyoongelea nyuma,zaidi tusubiri tarehe 28 meiSoka bwana haina mambo hayo, kama ingekuwa hivyo basi na mimi ningesema hivi "..kwa vile Regal FC Barcelona mwaka huu imepoteza uchampion wa Euroleague kwenye Basketi, basi tutabeba UCL sababu tulipopoteza UCL msimu uliopita wao wakawa machampion wa basketi Ulaya, na kila mara Rafa Nadal anaposhinda Grand prix, Timu mojawapo ya Spain itang'ara. Ilitokea hivyo Spain iliposhinda Euro 08, WC 2010 na UCL(Barca) 09!!"
Lakini soka ni tofauti na hisia ya moyo wa mtu!
Sidhani kama kuna kubishana, kila mtu anaelezea hisia yake!kaka nadhani tusubiri hadi tarehe 28 tuone,mimi binafsi barca,na ktk soka naamini vitu hivyo vinatokea,nina mifano italy kuanzia 1970 hadi leo kila baada ya miaka 12 inacheza fainali world cup,hiyo mifano uliyonipa ya wacheza tennis sijui wakimbiza farasi simo,nipe mifano ya soka,eg algeria kila ikicheza na nchi zetu eg tz,kenya,uganda au sadc kwa ujumla inafungwa ila ngoja wacheze na nchi kama egypt au morocco au hata kisoka zipo juu kama nchi za magharibi utawakataa kuamini wanafungwa na nchi za east afrika,soka naliheshimu na mara nyingi nafuatilia sana soka nilishakula hela za wa2 1998 fainali france vs brazil,watu walinibishia brazil wanacheza sana ball,soka usiangalie eti timu ikicheza boli tu basi inajua kuna kitu pia historia inamata sana ktk soka,mimi ungeniambia barca nayo inaujulia vizuri wembley nikngekuelewa maana ilishawafunga aseno 4-2 mwaka 2000 wakati huu highbury hauruhusiwi ktk uefa champs ligi hatua ya makundi hapo wembley na sampodoria 1-0 fainali,kwahiyo tusibishane sana,tusubiri mpaka tarehe 28 ndipo uje na pointi zako kama kunikosoa,maana sasa ni mapema,najua unadhani labda nasapoti man utd hapana la,ila england naheshimu timu 2 ambazo hazina masihara ktk mechi za kimataifa liverpool na man utd,kama bongo simba,na ndio maana ni simba pekee bongo ndio imeweza kufunga timu za misri zipatazo 5,ahly,zamalek,ismailia,arab contractors na mehalla el kubra zote bongo,ila ikienda misri kichapo,hiyo ndio mifano inayonifanya soka mimi niamini historia na rekodi,sio chenga twawala,barca ya sasa naikubali inacheza team work tofauti na wakati ule ilikuwa chenga twawala haina mafanikio,ila mechi yao na man utd,naipa nafasi man utd kufuatana na rekodi niliyoongelea nyuma,zaidi tusubiri tarehe 28 mei
Asante kwa pique na iniesta el barca derby imepita na pointi moja kubeba la liga . Akili sasa ni wimbley viva barca
nimekusoma mkuu na levante wanaweza kukomaa kimtindo ila hii pointi yatulazimu kuipata kwa ajili ya concentration ya wimbleyAkili yote ni mechi inayofuata, kesho, sababu RM tayari wana kombe moja(CDR) sisi bado, kwa hiyo baada ya kesho tunaanza build up kwa ajili ya UCL Fainal.
nimekusoma mkuu na levante wanaweza kukomaa kimtindo ila hii pointi yatulazimu kuipata kwa ajili ya concentration ya wimbley
nimecheki homepage ya barca naona pep amerecommend squad yote isafiri kwenda levante kwa ajili ya kushabikia ushindMechi ya kwanza Camp Nou walitusumbua sana, japo tuliwapa 2-1, lakini kwa vile hiyo ni mechi point,nadhani tutamaliza. Pep anataka kumaliza ligi na 100 points, last season ilikuwa ni record 99 points.
Nadhani ni motivation, watakaoanza wajue kuwa wanatakiwa kumaliza game haraka iwezekanavyo, wamechoka kusubiri!!nimecheki homepage ya barca naona pep amerecommend squad yote isafiri kwenda levante kwa ajili ya kushabikia ushind
iWhole squad travels to Levante | FCBarcelona.cat
we are officially la liga champs kwa ya 21 sasa na ni miaka mitatu mfululizo . Viva barca . We are coming after u manure wimbley 28.5 mkuu invisible iweke sasa special thread hii sticky barca fans waweze kuiona kirahisi .