FC Barcelona (Barça or Blaugrana) | Special Thread


Utakuwa mdau wa chelsick bila shaka wewe, Kama mara hii tu umejitahidi kusahau aliyepeleka kiama nyumbani kwenu basi subiri aibu jmosi.

SAF ameshasema ameandaa timu yake kukabiliana na tiu ya barcelona, hii habari ya messi inawapa pressure sana wanazi wa chelsick na asenali.

Safari hii barcelona hatoki, hakuna cha messi, david villa wala pedro wote watashikwa vizuri tu na man u anatoka na ushindi wa 2-0!!
 
Natamani Barca ifungwe siku hiyo. Uchambuzi wa muanzisha thread ni wa kitaalamu pia (Na actually kimsingi ndiyo ukweli wenyewe).
 
Observer analysis yako imekaa kitanzania Tanzania sana... Hivi katika Man Utd kuna mchezaji anayezunguka uwanja mzima kuanzia dakika ya mwanzo hadi mwisho zaidi ya Park?

Lazima uwe wa Kitanzania ndugu yangu cause I am typical Tanzanian. Sitegemei uchambuzi wangu kama Mtanzania uwe wakinaijeria au wa kifaransa etc etc !!!

Kuhusu Park, hakuna ubishi ni kiungo mzuri sana kwenye kukaba na kushambulia na ndio maana Sir AF huwa katika mechi yoyote ngumu lazima ampange J. S Park, ila unavyosema atamkaba Messi (kwa maana kuwa ndio litakuwa jukumu lake la msingi) ndio hapo kama itatokea kweli (though nauhakika Sir AF hawezi fanya huo utani) basi kutatokea msiba mzito OT. Nimegusia somewhere kuwa kitaalam, mtu anayetumia mguu wa kushoto ni kazi sana kukabwa na mtu anayetumia mguu wa kushoto and vice versa. Kama ni mfuatiliaji mzuri wa mbinu za soka utagundua siku hizi makocha wengi wanapenda kumpanga mtu anayetumia kushoto namba 7 (ili akabwe na beki namba 3 ambao majority wanatumia mguu wa kushoto) na pia mtu anayetumia mguu wa kulia anapangwa namba 11 ili akabwe na namba 2 anayetumia mguu wa kulia. Kwa mifano michache tu, mwangalie Aarjen Robben na Frank Ribbery wa Bayern Munich. Kumbuka Thiery Henry wa Arsenal, alikuwa always anashambulia tokea kushoto. Leonel Messi mara nyingi huwa anashambulia tokea kulia, Andres Iniesta mara nyingi anatokea kushoto etc, mifano ni mingi sana ya kuonyesha hiki ninachokuambia.

Anyway, hizi ni pre match analysis. Ngoja tusubiri hiyo kesho.

Cheers !
 

Haya bwana observer nimeziona sababu zako tano, sijui ni observer wewe au observer mwingine.
 
Man U lete raha nimeanza kupata mvinyo tangu sasa kushangilia ushindi
 

Good analysis: but as Manchester United Fans we can't give up, we know exactly that ''Nothing is Impossible Under Much Struggle''.
 
....walete, walete, waleteeeee!!! and the countdown finally starts....he he he
Wacha1, Ab-tichaz, ...mwageni picha mpaka kieleweke hapa leo...

Kuna watu weshaanza kutafuta visingizio humu, ooh....TANESCO, oooh, Server Down,...leo hakuna cha mgao wala
maintenance...wote mje hapa...Manda, Mfarisayo, sijui Kiduku....
Eqlypz hujalala ee...posts zako zipo hewani 24hrs ha ha ha... presha presha preshaaaaa!

BelindaJacob, mbona leo umevaa jezi ya Barcelona, kulikoni? ...ha ha ha!
 
Mbu, mambo ya timezone babu -8 GMT Ndio napanda kitandani sasa...! Ebanae niko nervous kama 99 na 08...!
Ila tutabanana hapa hapa.
 


Andres Iniesta takes on water. The Spanish ace is sure to be a key performer at Wembley







Former Liverpool man Javier Mascherano puts Gerard Pique under pressure
 
Reactions: Mbu


Lionel Messi, who many regard at the best in the world, will be the one United will be watching the most.





 
Reactions: Mbu
Ushindi leo ni jambo la kawaida kwetu sisi.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…