Mwita Maranya
JF-Expert Member
- Jul 1, 2008
- 10,565
- 7,984
J.S Park hawezi kumzuia Messi kabisa, Messi anataka mtu mwenye uwezo mkubwa sana wa kukaba na kuzunguka uwanja mzima. Kumbuka ishu nyingine inatakiwa supply ya mipira kuelekea kwa Messi ipunguzwe sana au iwe blocked kabisa. Shida ya Messi akishaweka mpira mguuni kuuchukua ni either umfanyie faulo au otherwise anakuacha. Faulo kadhaa kwa Messi lazima zitaelekea kutolewa kwa kadi. Hivyo basi Messi anahitaji timu iliyojipanga vema sana kwenye diffence. Na kwa tactics ya mpira kama ushacheza, sio rahisi kwa mtu anayetumia mguu wa kushoto kukabwa na mtu anayetumia mguu wa kushoto.
Utakuwa mdau wa chelsick bila shaka wewe, Kama mara hii tu umejitahidi kusahau aliyepeleka kiama nyumbani kwenu basi subiri aibu jmosi.
SAF ameshasema ameandaa timu yake kukabiliana na tiu ya barcelona, hii habari ya messi inawapa pressure sana wanazi wa chelsick na asenali.
Safari hii barcelona hatoki, hakuna cha messi, david villa wala pedro wote watashikwa vizuri tu na man u anatoka na ushindi wa 2-0!!