jamaa kapunguza mwendo na leo anaweza kukaa. ilikuwa chance nzuri kumpita.Walau tungekaa kileleni ndo ungeanza kuwapanga hawa akina Mathieu, hiki ni kipindi ambacho inabidi tukaze kwelikweli.
Hivi Rafihna ni majeruhi?huyu jamaa hajawahi kuwa strategist wala tactician mzuri. watu hawampigii kelele sababu timu inambeba na kuleta matokeo. pale usajili aliofanya ni Umtiti na Dennis tu ndiyo wanasomeka. pumbavu zake!
ni majeruhi mkuu.Hivi Rafihna ni majeruhi?
Sawa mkuu kidogo huyu huwa na mwelewa kuliko hawa akina Gomezni majeruhi mkuu.
sana. ana goli tano sawa na Neymar na assist 1.Sawa mkuu kidogo huyu huwa na mwelewa kuliko hawa akina Gomez
Mkuu tangia lini?ni majeruhi mkuu.
ilianza kwa kukosa mechi ya kwanza ya CDR na sociedad. shida ya msuli na atakuwa hewani soon.Mkuu tangia lini?
leo Barca was not our day- but ilibidi tuondoke na point 3-the ref robbed us of a clear goal- Mungu amlaani
hamuwezi kujiongelea wenyewe hadi mhusishe wanaumehaijaanza leo.
umeona wapi mpira wa ligi timu inajiongelea yenyewe? yanayotokea kwa timu moja huathiri nyingine. bila kuongea zile offside za leo zote zingekuwa magoli.hamuwezi kujiongelea wenyewe hadi mhusishe wanaume
haijaanza leo.
league nzima unaiona madrid tu , [emoji134]umeona wapi mpira wa ligi timu inajiongelea yenyewe? yanayotokea kwa timu moja huathiri nyingine. bila kuongea zile offside za leo zote zingekuwa magoli.
kocha akipanga kikosi kamili haitasaidia ikiwa goli kama hili linakataliwa.Keep whining cry baby. Hizo meme hazisaidii kitu, Bora utoe ushauri kwa kocha wako apange kikosi kamili la liga ishafikia hatua ngumu hii. Mbona hatujawahi kusikia Real Madrid wakiwalalamikia Barkalona?