sio tunalibeba ,sema tumeshalibeba tayari na wanaujua mziki wetu fireeeee gap ni point 2 tu basi under condition match waliyobakiwa nayo mkononi Madrid washindeHawa wahuni bila kubebwa kombe tunalibeba.
kuna pressing inatisha duniani kama ya Barca?ni stle tu ya uchezaji tukiamua kwani AT last week amekufa vipi?halafu hamna timu iko flexible kama Barca ,hizo pressing ndio zilimpa ujik Louis Enrique Barca na kumbuka wachezaji ni wale wale
Sijakusoma kabisa hasa ulivyomalizia ,Enrique ndio kaipa Barca Treble na ushindi wa laliga kila mwaka tangu ameichukua team kwa tick tack na ku press ,ninachokifahamu msimu huu alisema atakua unpredictable which means atakua na mchanganyiko wa flavor nyingi iys not the case may be enzi zake zimeishaUnajua kwanini Luis Enrique anaondoka ?sababu flavour ya Barca imepotea pressing,kutawala mchezo nk
Luis Enrique timu yake inacheza pass nyuma sana possession ipo kwenye defence akitegemea kucheza counter akiwategemea MSN
Mechi ya juzi na ATM tumeona ATM wakifanya pressing na kiungo cha Barca kilielemewa na hata ule ushindi wa Barca ni wa bahati tu
Timu nyingi zilizofanya pressing zimeisumbua Barca Tizama mechi na Betis ,Celta Vigo,Villarreal ,sevilla ,PSG nk nk
Wakati Barca ilikuwa ndio timu inayofanya high pressing ila saizi haifanyi ndio maana kiungo cha Barca haswa msimu huu kipo hovyo
Barca imefanya vizuri chini ya Luis Enrique shukran kwa MSN sababu huwa counter zinazigharibu timu zifanyao press Lakini msimu huu Barca kapoteza points nyingi kwa timu za aina hiyo au mfano mzuri mechi ya marudiano dhidi ya man city Barca haikuendana na pressure ya city
Tuseme ukweli Luis kafanya kazi nzuri ila midfield imekuwa hovyo akicheza na timu zinazo press ,
Barca ya kufanya pressing mwisho wake ulikuwa kipindi cha Tito na Tata kidogo
Barca hii haina pressing kabisa
Tupo nyumbani Mkuu, huyo bwana hawezi chomoka Camp Nou.Tatizo siyo kikosi kikubwa tatizo mtaiweza pressing ya celta
Maana Barca ya sasa ikicheza na timu inayofanya high pressing wanapata tabu sana mpaka unawaonea huruma ,na celta inaisumbua Barca Mara nyingi sababu ya pressing yao
Kitu pekee cha kumuombea ni yeye kutoa droo tu au kupigwa game walau moja.sio tunalibeba ,sema tumeshalibeba tayari na wanaujua mziki wetu fireeeee gap ni point 2 tu basi under condition match waliyobakiwa nayo mkononi Madrid washinde
Kikosi kilichocheza jana ndicho nachopendekeza kicheze dhidi ya PsG, tena tutumie hiyohiyo 3-4-3 ila Rafinha asianze.Jmos naanza kampeni yakuitoa PSG nitakuja na historia fupi ya strenth ambazo tunazo na potentials camp Nou [HASHTAG]#ibelieveinbarca[/HASHTAG] and we believe in treble [HASHTAG]#forcabarca[/HASHTAG] tutawajua tu washabiki wa kweli mwaka huu
Nimeshakupa LIKE yako!Unajua kwanini Luis Enrique anaondoka ?sababu flavour ya Barca imepotea pressing,kutawala mchezo nk
Luis Enrique timu yake inacheza pass nyuma sana possession ipo kwenye defence akitegemea kucheza counter akiwategemea MSN
Mechi ya juzi na ATM tumeona ATM wakifanya pressing na kiungo cha Barca kilielemewa na hata ule ushindi wa Barca ni wa bahati tu
Timu nyingi zilizofanya pressing zimeisumbua Barca Tizama mechi na Betis ,Celta Vigo,Villarreal ,sevilla ,PSG nk nk
Wakati Barca ilikuwa ndio timu inayofanya high pressing ila saizi haifanyi ndio maana kiungo cha Barca haswa msimu huu kipo hovyo
Barca imefanya vizuri chini ya Luis Enrique shukran kwa MSN sababu huwa counter zinazigharibu timu zifanyao press Lakini msimu huu Barca kapoteza points nyingi kwa timu za aina hiyo au mfano mzuri mechi ya marudiano dhidi ya man city Barca haikuendana na pressure ya city
Tuseme ukweli Luis kafanya kazi nzuri ila midfield imekuwa hovyo akicheza na timu zinazo press ,
Barca ya kufanya pressing mwisho wake ulikuwa kipindi cha Tito na Tata kidogo
Barca hii haina pressing kabisa
Wakiwa kwao sio camp nouTatizo siyo kikosi kikubwa tatizo mtaiweza pressing ya celta
Maana Barca ya sasa ikicheza na timu inayofanya high pressing wanapata tabu sana mpaka unawaonea huruma ,na celta inaisumbua Barca Mara nyingi sababu ya pressing yao
Kitu pekee Enrique alichofanya ni kutupa washambuliaji wazuri ila Enrique sio mwalimu mzuri kama akina Pep, Anceloti, Zidane n.kSijakusoma kabisa hasa ulivyomalizia ,Enrique ndio kaipa Barca Treble na ushindi wa laliga kila mwaka tangu ameichukua team kwa tick tack na ku press ,ninachokifahamu msimu huu alisema atakua unpredictable which means atakua na mchanganyiko wa flavor nyingi iys not the case may be enzi zake zimeisha
Zidane? Mkuu uko serious na hilo jina?Kitu pekee Enrique alichofanya ni kutupa washambuliaji wazuri ila Enrique sio mwalimu mzuri kama akina Pep, Anceloti, Zidane n.k
Kama ulikuwa unaifatilia Barca vyema utagundua kwamba zama za Enrique viungo wamekuwa hawana msaada mkubwa sana kwa timu tukicheza na timu kubwa. Ile radha ya timu haipo kabisa.
Mkuu tuombe iwe hvyo lkn watu wenyewe tunawatoa wapi sasa? Hiyo ndio shida kubwaNimeshakupa LIKE yako!
Ni dhahiri kabisa timu haina radha kama miaka iliyopita. Viungo ni kama havipo uwanjani. Nilisikitika saana kuondoka kwa yule mtoto Thiago Alcantara, alikuwa ni mbadala mzuri wa Xavi Hernandez.
Timu inahitaji viungo ambao tunajua wanaweza wakachezesha timu, mimi kuanzia hata msimu ujao sitapenda kumuona Andrea Iniesta anaanza kikosi cha kwanza. Watafutwe vijana wapya ili kuinua hii sehemu ya viungo.
Game ya Atletico hatukufanya vyema, na hii weakness ya viungo ilionekana tangu last year. Inabidi tulipatie ufumbuzi jambo hili.
Ukubali au ukatae ila jamaa ni mwalimu.Zidane? Mkuu uko serious na hilo jina?
Sawa mkuu, ngoja niendelee kumfatiliaUkubali au ukatae ila jamaa ni mwalimu.
hilo mbona weekend hii Eibar wanalimaliza.Kitu pekee cha kumuombea ni yeye kutoa droo tu au kupigwa game walau moja.
Mzee wa ''comeback'' kikosi tu kinambeba. hana tofauti na Enrique. Anamng'ang'ania Benzema kama Enrique na Gomes. Hana ualimu wowote.Ukubali au ukatae ila jamaa ni mwalimu.
Lini Barca ya Enrique inacheza pressing ?kuna pressing inatisha duniani kama ya Barca?ni stle tu ya uchezaji tukiamua kwani AT last week amekufa vipi?halafu hamna timu iko flexible kama Barca ,hizo pressing ndio zilimpa ujik Louis Enrique Barca na kumbuka wachezaji ni wale wale
Iniesta kabla ya kuumia alikuwa fresh tatizo Enrique mfumo wake wa kuiweka timu chini na kutegemea MSNNimeshakupa LIKE yako!
Ni dhahiri kabisa timu haina radha kama miaka iliyopita. Viungo ni kama havipo uwanjani. Nilisikitika saana kuondoka kwa yule mtoto Thiago Alcantara, alikuwa ni mbadala mzuri wa Xavi Hernandez.
Timu inahitaji viungo ambao tunajua wanaweza wakachezesha timu, mimi kuanzia hata msimu ujao sitapenda kumuona Andrea Iniesta anaanza kikosi cha kwanza. Watafutwe vijana wapya ili kuinua hii sehemu ya viungo.
Game ya Atletico hatukufanya vyema, na hii weakness ya viungo ilionekana tangu last year. Inabidi tulipatie ufumbuzi jambo hili.