Huyo coach wa Sociedad ni moja ya candidate anayetakiwaBetis 2 -2 RSO dk 70. mechi kali sana. betis wanapachimba.
Mkuu, ile Barca ya akina Xavi na Iniesta hata kama tukitolewa mioyo yetu ilikuwa kwatu kwa soka safi linalochezwa.Iniesta kabla ya kuumia alikuwa fresh tatizo Enrique mfumo wake wa kuiweka timu chini na kutegemea MSN
343 ya juzi kumbuka sporting alikuwa anapaki basi na viungo kama Rakitic,Gomes footwork yao sio nzuri ,mistake ambayo bodi ya Barca ilifanya ni kumuuza Thiago
Ndio alipaswa achukue mikoba ya xavi
Kingine Barca ya pep na Tito ikipoteza mpira ndani ya sekunde kadhaa wanarudisha kwenye himaya yao sababu wana press kwa nguvu ,kitu ambacho kwasasa hakuna
Ndio maana sampaoli anatajwa sababu ya aina yake ya uchezaji
Game ijayo ajitoe mhanga 343 na messi,iniesta waperform kwa hali ya juu
Busi,iniesta,raki ,denis/Alba
yuko vizuri. kashinda 3-2. saa hizi baada na Sevilla naye jana kushinda table ipo namna hii.Huyo coach wa Sociedad ni moja ya candidate anayetakiwa
Barca ya akina xavi utaiona tenaMkuu, ile Barca ya akina Xavi na Iniesta hata kama tukitolewa mioyo yetu ilikuwa kwatu kwa soka safi linalochezwa.
Hii timu ina wachezaji wa zamani wazuri saana ambao wana elimu ya ukocha.Barca ya akina xavi utaiona tena
Kama bodi ikichagua kocha imara na endapo huyu wa sociedad akichukuliwa basi Barca ya enzi ya Guardiola inarudi ,sababu huyu ni zao la Barca na falsafa ya Barca anaijua nje ndani na amefanya kazi nzuri sociedad ,kutoka kushika nafasi ya 13 msimu uliopita kipindi cha moyes mpaka nafasi ya 4 msimu huu ..
Au sampaoli watarudisha hadhi ya burudani
Mkuu mm ningependa mtu aliepita Barca ndio awe kocha na si vinginevyoHii timu ina wachezaji wa zamani wazuri saana ambao wana elimu ya ukocha.
ngoja tuona but kumbuka celta viga nae yuko vizuriLEO TUNAMTAFUNA CELTA VIGO
PSG akikaa goli sita nahama nchi mimiNatangaza rasmi PSG atakaa goal 6-1 Camp Nou