FC Barcelona (Barça or Blaugrana) | Special Thread

FC Barcelona (Barça or Blaugrana) | Special Thread

Iniesta kabla ya kuumia alikuwa fresh tatizo Enrique mfumo wake wa kuiweka timu chini na kutegemea MSN

343 ya juzi kumbuka sporting alikuwa anapaki basi na viungo kama Rakitic,Gomes footwork yao sio nzuri ,mistake ambayo bodi ya Barca ilifanya ni kumuuza Thiago
Ndio alipaswa achukue mikoba ya xavi

Kingine Barca ya pep na Tito ikipoteza mpira ndani ya sekunde kadhaa wanarudisha kwenye himaya yao sababu wana press kwa nguvu ,kitu ambacho kwasasa hakuna


Ndio maana sampaoli anatajwa sababu ya aina yake ya uchezaji


Game ijayo ajitoe mhanga 343 na messi,iniesta waperform kwa hali ya juu

Busi,iniesta,raki ,denis/Alba
Mkuu, ile Barca ya akina Xavi na Iniesta hata kama tukitolewa mioyo yetu ilikuwa kwatu kwa soka safi linalochezwa.
 
Huyo coach wa Sociedad ni moja ya candidate anayetakiwa
yuko vizuri. kashinda 3-2. saa hizi baada na Sevilla naye jana kushinda table ipo namna hii.

upload_2017-3-4_0-46-8.png
 
Mkuu, ile Barca ya akina Xavi na Iniesta hata kama tukitolewa mioyo yetu ilikuwa kwatu kwa soka safi linalochezwa.
Barca ya akina xavi utaiona tena

Kama bodi ikichagua kocha imara na endapo huyu wa sociedad akichukuliwa basi Barca ya enzi ya Guardiola inarudi ,sababu huyu ni zao la Barca na falsafa ya Barca anaijua nje ndani na amefanya kazi nzuri sociedad ,kutoka kushika nafasi ya 13 msimu uliopita kipindi cha moyes mpaka nafasi ya 4 msimu huu ..

Au sampaoli watarudisha hadhi ya burudani
 
Barca ya akina xavi utaiona tena

Kama bodi ikichagua kocha imara na endapo huyu wa sociedad akichukuliwa basi Barca ya enzi ya Guardiola inarudi ,sababu huyu ni zao la Barca na falsafa ya Barca anaijua nje ndani na amefanya kazi nzuri sociedad ,kutoka kushika nafasi ya 13 msimu uliopita kipindi cha moyes mpaka nafasi ya 4 msimu huu ..

Au sampaoli watarudisha hadhi ya burudani
Hii timu ina wachezaji wa zamani wazuri saana ambao wana elimu ya ukocha.
 
  • Thanks
Reactions: GUI
Rafinha ana fit sana halafu my team mbona kama ime improve sana ile pace na harmony yetu naiona leo sana
 
Messi is a beast mbona kama akitaka kufunga lazima afunge huyu kiumbe wa sayari nyingine
 
Back
Top Bottom