FC Barcelona (Barça or Blaugrana) | Special Thread

Dakika ya 92!BARCA is still trailing 1-2
 
Tumepigwa. Ila vijana walionekana wamechoka. Hii nadhani ni kutokana na game iliyopita dhidi ya PSG.

Messi busquet Suarez walionekana dhairi wachovu. Moaka hapo tumepoteza matumaini ya kupata laliga.
 
barca leo refa hajawabeba wamepigwa.....barca bila kubebwa na refa ushindi watausikia redioni tu
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…