FC Barcelona (Barça or Blaugrana) | Special Thread

FC Barcelona (Barça or Blaugrana) | Special Thread

Ha ha bad news kwa Neymar technically dili lake lishafeli PSG hawataki kulipa hiyo release clause ya €222M
Bart amewajibu simple if you want Neymar pay that amount kwa wasiojua huwezi kutoa fedha ndefu kiasi hicho bila kuvunja FFP (financial fair play ) laws so PSG kumbe walikuja na proposal ya wachezaji kadhaa(Demaria akiwemo but Verrati excluded ) ili kupunguza buy out clause

Kupitia this saga tumeshamjua who is Neymar Jr na ambition yake kumbe ni hela na sio mpira ,kwenye league 1 France hivi alishawahi kutoka mchezaji bora?naomba mnikumbushe ,halafu mniambie lini mara ya mwisho team ya France ilichukua UEFA
Neymar respect yake irudi anatakiwa a prove otherwise

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Ha ha bad news kwa Neymar technically dili lake lishafeli PSG hawataki kulipa hiyo release clause ya €222M
Bart amewajibu simple if you want Neymar pay that amount kwa wasiojua huwezi kutoa fedha ndefu kiasi hicho bila kuvunja FFP (financial fair play ) laws so PSG kumbe walikuja na proposal ya wachezaji kadhaa(Demaria akiwemo but Verrati excluded ) ili kupunguza buy out clause

Kupitia this saga tumeshamjua who is Neymar Jr na ambition yake kumbe ni hela na sio mpira ,kwenye league 1 France hivi alishawahi kutoka mchezaji bora?naomba mnikumbushe ,halafu mniambie lini mara ya mwisho team ya France ilichukua UEFA
Neymar respect yake irudi anatakiwa a prove otherwise

Sent using Jamii Forums mobile app
Neymar ametuchanganya,transfer deals zingine zimelala-na kubaki kwake ataleta discontent katika dressing room- mimi siamini kabisa kwamba endapo MSN wakibaki intact wataweza tena ku replicate their past form
 
Neymar ametuchanganya,transfer deals zingine zimelala-na kubaki kwake ataleta discontent katika dressing room- mimi siamini kabisa kwamba endapo MSN wakibaki intact wataweza tena ku replicate their past form
Wataweza kuwa kwenye form cause sisi fans ni takers tu of informations streamed na media ,kwa mfano Neymar sio mara ya kwanza kususa mazoezi i remember hata mwisho wa season aligombana na Unzue (asst. Coac wa Lucho) ilipita kimya kimya lakini sasa hivi issue yake imekua vibrant sana kwa sababu ya promotion yake hii ya transfer ,halafu kuna senior mmoja hivi aliwahi kusema dogo anapenda sana game za nje ya uwanja (misifa) na apewe coverage kwenye media sana kwa issue ambazo vilevile ni personal ,sasa ushauri wangu aende UK maana wana asili hiyo ya "there is no bad publicity "
 
Wataweza kuwa kwenye form cause sisi fans ni takers tu of informations streamed na media ,kwa mfano Neymar sio mara ya kwanza kususa mazoezi i remember hata mwisho wa season aligombana na Unzue (asst. Coac wa Lucho) ilipita kimya kimya lakini sasa hivi issue yake imekua vibrant sana kwa sababu ya promotion yake hii ya transfer ,halafu kuna senior mmoja hivi aliwahi kusema dogo anapenda sana game za nje ya uwanja (misifa) na apewe coverage kwenye media sana kwa issue ambazo vilevile ni personal ,sasa ushauri wangu aende UK maana wana asili hiyo ya "there is no bad publicity "
Kwa hivyo je unaamini Neymar anataka kuondoka tatizo ni jinsi ya kuizunguka financial fair play restrictions AU Neymar hataki kuondoka bali media inatunga???
 
Game ya leo (kesho) ni saa tisa alafajiri (3:00am)
Barcelona Vs Real Madrid
velverde amesema kuwa kwakua tumeshaingia kwenye preparation period wachezaji watacheza zaidi ya dakika 45 so stay tuned nadhani leo tutaanza kupata picha kamili ya kikosi cha Barcelona season ya 2017-18
Na pia tutaona a pressuring team ambayo anatakia aiunde ,team ambayo itakua ina attack muda wote mashambulizi makali sana na team ambayo muda wote players wako kwenye defence perimeters zao hivyo basi wale wapiga counter(kama tulivyozoea opponents zetu tunapocheza nao)
Results zetu we expect to be 5-0,4-0 etc
Na possession zaidi ya 70%

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Kwa hivyo je unaamini Neymar anataka kuondoka tatizo ni jinsi ya kuizunguka financial fair play restrictions AU Neymar hataki kuondoka bali media inatunga???
Swali zuri sana issue ni FFP ila Neymar nafsi yake na ya baba yake wanaota utajiri
Recalling back huyu mzee anamuharibu sana mtoto wake ila this time Neymar analazimika kwenda na matakwa ya baba yake (sijui amekumbwa na nini-tutaliongelea muda mwingine)

Ile Buy out clause Barca waliicheza sana sema u bush lawyer wa Neymar Sr ulimponza na pia aliendeshwa na fedha kwa matarajio kuwa mtoto wake siku akitoka Barca basi anaweza kutangazwa ni billgate wa Brazil
But how the game played iko advantageous kwa upande wa Barcelona as team PSG ni mashahidi ndio maana wameomba ipunguzwe au waje na options ya players wengine kitu ambacho ni kuwapanda kichwani Barca-team kubwa haiwezi ikawa structured na transfers kama leceister city au Atletico Madrid we are big fish in the global football industry ,simply we make our own decision hatuamuliwi sisi thats why issue ya Neymar hata akiondoka tutakua tumeamua wenyewe kwa ku weigh cost and benefit analysis umenipata Jack?though tuna background mbaya ya kufanya wrong decision kwenye situation kama hii mfano unakumbuka Thiago Alcantara alihama vipi?Alex Sanchez ,Pedro etc
 
Game ya leo (kesho) ni saa tisa alafajiri (3:00am)
Barcelona Vs Real Madrid
velverde amesema kuwa kwakua tumeshaingia kwenye preparation period wachezaji watacheza zaidi ya dakika 45 so stay tuned nadhani leo tutaanza kupata picha kamili ya kikosi cha Barcelona season ya 2017-18
Na pia tutaona a pressuring team ambayo anatakia aiunde ,team ambayo itakua ina attack muda wote mashambulizi makali sana na team ambayo muda wote players wako kwenye defence perimeters zao hivyo basi wale wapiga counter(kama tulivyozoea opponents zetu tunapocheza nao)
Results zetu we expect to be 5-0,4-0 etc
Na possession zaidi ya 70%

Sent using Jamii Forums mobile app
Yardstick yangu,ni Possession hii itanifanya nimuelewe vizuri huyu Manager na uelekeo wa Barca. i always believe when Barca kick the ball around opponents are suffocated. I think leo tutamuona vizuri Semedo.I hope mtandao hautaniangusha
 
Yardstick yangu,ni Possession hii itanifanya nimuelewe vizuri huyu Manager na uelekeo wa Barca. i always believe when Barca kick the ball around opponents are suffocated. I think leo tutamuona vizuri Semedo.I hope mtandao hautaniangusha
Yaani nadhani utapo sign contract ya Barca inawekwa ni terms ya kwanza ,possession ndio style ya huyu mzee nilikua naona hata Atletico Bilbao wanavyocheza so far ni scholar wa Lamasia tena mkono wa founder mwenyewe wa total football Johan Cruyyf

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Ha ha bad news kwa Neymar technically dili lake lishafeli PSG hawataki kulipa hiyo release clause ya €222M
Bart amewajibu simple if you want Neymar pay that amount kwa wasiojua huwezi kutoa fedha ndefu kiasi hicho bila kuvunja FFP (financial fair play ) laws so PSG kumbe walikuja na proposal ya wachezaji kadhaa(Demaria akiwemo but Verrati excluded ) ili kupunguza buy out clause

Kupitia this saga tumeshamjua who is Neymar Jr na ambition yake kumbe ni hela na sio mpira ,kwenye league 1 France hivi alishawahi kutoka mchezaji bora?naomba mnikumbushe ,halafu mniambie lini mara ya mwisho team ya France ilichukua UEFA
Neymar respect yake irudi anatakiwa a prove otherwise

Sent using Jamii Forums mobile app




Mpumbavu yule bishoo wa kwa mtogole bora wajichange hao wauza mafuta watupe verrati na helaa...wanamvunjia heshima de maria kumuinclude kwenye dili
 
Swali zuri sana issue ni FFP ila Neymar nafsi yake na ya baba yake wanaota utajiri
Recalling back huyu mzee anamuharibu sana mtoto wake ila this time Neymar analazimika kwenda na matakwa ya baba yake (sijui amekumbwa na nini-tutaliongelea muda mwingine)

Ile Buy out clause Barca waliicheza sana sema u bush lawyer wa Neymar Sr ulimponza na pia aliendeshwa na fedha kwa matarajio kuwa mtoto wake siku akitoka Barca basi anaweza kutangazwa ni billgate wa Brazil
But how the game played iko advantageous kwa upande wa Barcelona as team PSG ni mashahidi ndio maana wameomba ipunguzwe au waje na options ya players wengine kitu ambacho ni kuwapanda kichwani Barca-team kubwa haiwezi ikawa structured na transfers kama leceister city au Atletico Madrid we are big fish in the global football industry ,simply we make our own decision hatuamuliwi sisi thats why issue ya Neymar hata akiondoka tutakua tumeamua wenyewe kwa ku weigh cost and benefit analysis umenipata Jack?though tuna background mbaya ya kufanya wrong decision kwenye situation kama hii mfano unakumbuka Thiago Alcantara alihama vipi?Alex Sanchez ,Pedro etc
Hawa jamaa walitukazia sana kwa Verrati kwa kiburi. Sasa wananyweshwa dawa yao wenyewe.
 
Blogs za Catalunya zinajadili habari ya Neymar badala ya El classico!!!!! this has never happened before-kweli jamaa katushika pabaya-hii holiday yangu has become a disaster
 
Back
Top Bottom