FC Barcelona (Barça or Blaugrana) | Special Thread

FC Barcelona (Barça or Blaugrana) | Special Thread

acha kae benchi wamepita watu wenye mapenzi ya kweli barca kama gaucho,deco na wengine wengi si bora figo alihama barca kwenda madrid sio huyu mpuuzi kwenda league 1 anafikiri huko atapata ballon d'or

Hahahaha [emoji23] [emoji23] [emoji23]
 
Screenshot_2017-07-30-02-55-04-1.png

HardRock stadium in Miami USA
 
Naisubiri hii mechi live kutoka Miami Florida... Nimemaliza kuwacheki MC vs Totenham naona Tots wamepigwa tatu mtungi... Hope king Messi atafanya kitu
 
Hawa Madrid naona wana hang-over bado ya Summer. Dkk 7 washapigwa mbili?
 
Jamani nafaidi peke yangu game?tumeshashinda goal 2 hadi dk ya 05' njoo muone jamani Madrid maji wanaita "mma" mpira wanaonekana wakati wanapiga diffraction tu
Dk ya 08 possession Barca 90% Madrid 10%

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Kocha RB kakosea angewekwa Semedo leo ili awe exposed udhaifu wa Aleix Vidal kwenye ku defend unaonekana na amesababisha kufungwa
Ansensio 36 ' goal....!!

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Back
Top Bottom