FC Barcelona (Barça or Blaugrana) | Special Thread

Woyoooooooooooooooooooo [emoji1376] [emoji1376] [emoji1376] [emoji1376] [emoji1376] [emoji1376]
Bora ameondoka aisee
 
Umuhimu wa Neymar definitely tutauona kwa atakae chukua nafasi yake-the player will be under the mother of all spotlights-mimi binafsi nishaanza kumuhurumia huyo replacement
 
...Humu ndani kuna watu wanafiki kweli...leo mashabiki wa Barcelona wanamponda kisa kahama..mwacheni akatafute zake maisha bwana...
Povu linawatoka kama mna share na Barcelona.
 
Gazeti kwa Le equip la France lime report kuwa Mbappe ameshawataarifu Monacco kuwa anataka kuhama ,katika rumours inasemekana kuwa Barcelona wanakaribia kum sign (We tired of this rumours)



Sent using Jamii Forums mobile app
 
Kuna washabiki wanachekesha sana eti Neymar kaondoka anakuambia ooh ndio mwisho wa Barca ,hivi nyie Barca mliijua baada ya kuja Neymar kweli?eti ooh Messi alikua anambania, too pathetic what happened ujio wa Neymar na Suarez ulimlazimu hata Messi asicheze natural position yake mwanzo ilimpa shida sana msimu wa 2013-14 aka accommodate vizuri na ku shine kama kawaida ,kama haujui mpira you better chill up ,Messi alikua na Bol On Dor 4 kabla huyo Neymar hajakuja,Barcelona uhamisho ambao ulihudhunisha wengi ni kustaafu wa Xavi-2015 (tunaweka records sawa) anayeijua Barca kindakindaki hata kama sio shabiki atakuambia ukweli Barcelona ambayo ilimtetemesha Sir Furguson na ikaleta panic Madrid na kuanza kufanya usajili usiokua na kichwa wala miguu ambao Madrid uliwa cost sana
Mimi nawashauri tu unapofanya analysis try to be rational kidogo na usijawe tu na chuki na matusi
Why unamtaja Messi na Iniesta au ,Basquets ,Pique?kwa sababu hawa ndio Barca natural players ambao wamebakia na wana records nyingi sana national team na club
We unadhani Ronaldo alipomtumia Neymar message kuwa team bora ziko Spain alikosea?
Hiyo anayoelekea ndio League 1
 
Team bado inaendelea na mazoezi ,Deleouf ,Ter Stergen ,Andres Gomes wameshaanza mazoezini
Management imetakiwa na technical team wafanye transfer ya big player (replacement ) ya Neymar kabla ya next week so within 2 weeks kutakua na new signings ambazo sio chini ya mbili
Inasemekana Angel Di Maria ,Draxler anaweza akawekwa kwenye deal la Neymar kuhusu Verrati wamekataa kabisa ,options za Dembele ns Dyabala pia zipo na altrrnative ya Coutinho ni Eden Hazard



Sent using Jamii Forums mobile app
 
Wabrazil wafurahie kuhamia France league 1?au Neymar Barcelona alikua ananyonywa?ahame tu salama angekua muhimu sana uongozi wa Barcelona wangemng'ang'ania tu lazima

Sent using Jamii Forums mobile app

Huo uongozi ndio umechemka ndio maana Neymar anawapelekesha mpaka sasa,waliweka release € 220m wakidhani hakuna timu inayoweza toa hiyo hela .Release clause ya CR7 ni €1bilion while wao wameweka release clause ya Messi €300m
Wabrazil wafurahie kuhamia France league 1?au Neymar Barcelona alikua ananyonywa?ahame tu salama angekua muhimu sana uongozi wa Barcelona wangemng'ang'ania tu lazima

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Huo uongozi ndio umechemka ndio maana Neymar anawapelekesha mpaka sasa,waliweka release € 220m wakidhani hakuna timu inayoweza toa hiyo hela .Release clause ya CR7 ni €1bilion while wao wameweka release clause ya Messi €300m
Hizo ni alternatives za finance mkuu Team kama haitaki kukuuza inaweza ikakupandishia dau ,kama motive yako ni hela kwani Morata hata kama mimi sio fan wa Madrid aliuzwa kwenye release clause aliyowekewa?simply yeye ni striker na striker pale best kabisa ni mmoja hopeful unamjua ,halafu hizo amount team ndio inapanga strategist wa Barca no tofauti na Madrid(mfano mwingine buy out clause ya Ansensio ni kubwa kushinda Messi uache ushabiki how comes? -ni evidence nyingine ya team wise plan za kuandika hizo clause)
Moja ya factor ambayo team ina ku hold ni significance yake first team na mikakati ya club (objectives ),Neymar sikatai kabisa he was central of barca's plan na tulishadhani atakua successor wa Neymar ,Brazilians wana mission yao pale PSG but remember huwezi kuwa na plan ndani ya plans za watu ,World cup unaweza kushinda tu hata kama wachezaji wako scattered
 
Mwacheni kijana akatafute maisha sehemu pengine maana si kwa mapovu mnayomtolea...
 
The idea ya kuweka release clause kubwa ni kwamba klabu inawa-discourage kabisa timu ambazo zitakuwa interested na key players wake, Huko nyuma hiyo hela ilikuwa kubwa but Neymar ameongeza mkataba last season walipaswa kuongeza hiyo amount kwenye clause yake

Huwezi kumuuza mchezaji for fees above his release clause kama yeye ndio anataka kuondoka(Case ya Neymar)

Last summer Messi alitaka kuhamia Man City na walikuwa tayari kulipa hiyo €300m some seniors players (Suarez,Pique,Neymar,Iniesta) wakamshawishi abaki akabadili mawazo the same situation imetokea kwa Neymar again wamejaribu wameshindwa kumshawishi.

Morata alikuwa back-up player na alisema anataka kucheza while Neymar ni best player baada ya Messi
 
I concur with you ina discourage but kama mchezaji akitaka kuondoka ndugu ataondoka tu especially kama hana roots na hiyo team,huyo Messi unayemtaja unakumbuka watu wangapi wamefukuzwa kwa ajili yake?such kind of honours na respect hawez kupata nje ya Barca
Malengo pia kwa mfano Neymar kilichomtoa ni malengo yake mbele ya safari ndio maana nikakuambia wale wa Brazil kule PSG waangalie kwa jicho la tatu lengo lao kama mwakani halijatimia usishangae akihama tena to United au Madrid (hii ndio trend ya wa brazil tangu enzi hizo angalia hata profile zao wameshachezea team zote [emoji23]Barca na Madrid)
Hata Morata lengo lake alihitaji team ambayo atacheza minutes za kucheza ili awe kwenye world Cup
 
Bora ameondoka huyu mtu sasa hizo hela leta little magician coutihno na ambae hawezi kuvaa soski hadi juu dybala mimask
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…