Beautifulgirl
JF-Expert Member
- Oct 22, 2016
- 300
- 265
Hizo njaaa zako peleka kwenu unatuletea mauza uza pwakwa weweusikose chance ya dollar 25 bure kwa ku sign up kwenye hii link na uchukue mmkwanja wako BlackOption - binary options without investments!
Umeona jinsi dogo ambavyo ametufanyia Barca?unajua maana yake nini Laliga wanalazimisha PSG wa negotiate na Barca na sio uhuni walioufanya kumbe Neymar alikua hatupendi kiasi hicho?ameshindwa hata kuzikutanisha team(PSG na BARCELONA) yaani mshikaji kaingiziwa mzigo moja kwa moja kwenye account yake avunje contract ni jasiri kweli kweli ,Zlatan Abromovic "ameshamchana tayari kuwa Neymar hawezi kuichukulisha ubingwa wa UEFA PSG amejitahidi sana robo fainali"Yaaa laliga wamegoma kupokea hela any way ngoja tuangalie hii movie inavyoendelea
Sent using Jamii Forums mobile app
acheni kulia lia mwacheni neymar asepe na fifa imeingilia kati dogo lazima asepe crylonaUmeona jinsi dogo ambavyo ametufanyia Barca?unajua maana yake nini Laliga wanalazimisha PSG wa negotiate na Barca na sio uhuni walioufanya kumbe Neymar alikua hatupendi kiasi hicho?ameshindwa hata kuzikutanisha team(PSG na BARCELONA) yaani mshikaji kaingiziwa mzigo moja kwa moja kwenye account yake avunje contract ni jasiri kweli kweli ,Zlatan Abromovic "ameshamchana tayari kuwa Neymar hawezi kuichukulisha ubingwa wa UEFA PSG amejitahidi sana robo fainali"
Tangu lini Neymar amekua mchezaji wa dunia?amechukua tuzo gani yenye world recognition nitajie nikupe mil 50 sasa hivi?Mkuu wacha kujifariji neymar ni habar nyengne mmpoteza mchezaji bora wa dunia
Sent using Jamii Forums mobile app
Sheria za La Liga zinataka kila mchezaji lazima mkataba wake uwe na release clauseBarca wanaweweseka,walipokuwa wanawataka kina fabregas,Henry now Courtinho walijiita Barca is more than a club,na haya maujinga ya kuweka release clause uangaliaji wangu wa Mpira zaidi ya miongo miwili nimekuwa nausikia sana kwenye mikataba ya kijinga ya Spain hasa Barca na Madrid na wamekuwa wakifanya hivyo kwa kuwatisha vilabu vingine,sasa this time wameingia choo cha kike wamekutana na bomba LA mafuta kama LA Hoima jamaa wanatoa pesa tu sasa barca wamedata.
Wanajaribu kutumia uhusiano wao wa kibaguzi wa waspain FA, ilihali uefa imesema FA haiwezi zuia kwasababu barca hawaja toa malalamiko rasmi.
Pia PSG wametumia umafia sio wa dunia hii kumbeba Neymar.
Na wamewakomesha sasa barca imekuwa timu ya kulia lia na sio tena waliokuwa wanajiita Mo than a club kwani kuna Dollar sign imewanyong'onyesha.
mkuu ni PM basi ili nimjueBarcelona Fans stay tuned kabla ya jumamos next week tunadondosha Bomb.......
Habari hizi sio za speculations kati ya majina ambayo kwenye uzi wetu humu watu wameyataja sana......utalisikia na watam present siku ya Spanish Cup 13/8
Kitu cha Fire.......nilikua namataka sana huyu dogo sitamsema leo
Wazee target ya mwaka bado ni [HASHTAG]#Treble[/HASHTAG]
ForcaBarca
Mtu sahihi kwangu ninaye muona anaweza kuziba nasafi ya bwana mdogo neymar ni Eden hazard.Barcelona Fans stay tuned kabla ya jumamos next week tunadondosha Bomb.......
Habari hizi sio za speculations kati ya majina ambayo kwenye uzi wetu humu watu wameyataja sana......utalisikia na watam present siku ya Spanish Cup 13/8
Kitu cha Fire.......nilikua namataka sana huyu dogo sitamsema leo
Wazee target ya mwaka bado ni [HASHTAG]#Treble[/HASHTAG]
ForcaBarca
jackline1 wanachokifanya Laliga ni sawa kwa sababu wanatetea team zao za Spain soma hapa chini utanieleaLa liga wanazingua,wanamuweka Barca in a lose lose situation-sasa wanapinga kupokea hela ili Neymar arudi Barca??? Barca should take the money and plan ahead-hizi sagaz are doing our heads in
Usitufanyie hivyo kiongozi, mtaje tuBarcelona Fans stay tuned kabla ya jumamos next week tunadondosha Bomb.......
Habari hizi sio za speculations kati ya majina ambayo kwenye uzi wetu humu watu wameyataja sana......utalisikia na watam present siku ya Spanish Cup 13/8
Kitu cha Fire.......nilikua namataka sana huyu dogo sitamsema leo
Wazee target ya mwaka bado ni [HASHTAG]#Treble[/HASHTAG]
ForcaBarca
Tatizo kuna speculation nyingi sana lakini mambo yameshaiva kuna signings za big players wawili kbla ya ijumaa next week na kabla mwezi haujaisha tuna drop big name lingine FireeeeeUsitufanyie hivyo kiongozi, mtaje tu
Maelezo marefu ya kishoga shogaBarca wanaweweseka,walipokuwa wanawataka kina fabregas,Henry now Courtinho walijiita Barca is more than a club,na haya maujinga ya kuweka release clause uangaliaji wangu wa Mpira zaidi ya miongo miwili nimekuwa nausikia sana kwenye mikataba ya kijinga ya Spain hasa Barca na Madrid na wamekuwa wakifanya hivyo kwa kuwatisha vilabu vingine,sasa this time wameingia choo cha kike wamekutana na bomba LA mafuta kama LA Hoima jamaa wanatoa pesa tu sasa barca wamedata.
Wanajaribu kutumia uhusiano wao wa kibaguzi wa waspain FA, ilihali uefa imesema FA haiwezi zuia kwasababu barca hawaja toa malalamiko rasmi.
Pia PSG wametumia umafia sio wa dunia hii kumbeba Neymar.
Na wamewakomesha sasa barca imekuwa timu ya kulia lia na sio tena waliokuwa wanajiita Mo than a club kwani kuna Dollar sign imewanyong'onyesha.
Aende tu hakuna aliye mngang'aniaacheni kulia lia mwacheni neymar asepe na fifa imeingilia kati dogo lazima asepe crylona
Dembele,coutinho na Martinez na Jean seri visca el barcaTatizo kuna speculation nyingi sana lakini mambo yameshaiva kuna signings za big players wawili kbla ya ijumaa next week na kabla mwezi haujaisha tuna drop big name lingine Fireeeee
Tia neno Mbappe na Dyabala pia[emoji40]Dembele,coutinho na Martinez na Jean seri visca el barca
Ni laliga mkuu usichanganye habari sisi tunaitaka hela tufanye yetukwani hao barca wanamungangania neymar wa nini si wamuache aende
Fake ID inakubeba ..@##$#@4&+@+@-Maelezo marefu ya kishoga shoga
hap la liga nao watulie kwani hadi hizo process zote neymar anazifanya hakujua la liga itahusika kiufupi hamna sheria inasema watashirikishwaNi laliga mkuu usichanganye habari sisi tunaitaka hela tufanye yetu