Wanacheza kwa ajili ya jeziHatutaki negative energy humu ndani Barca ni chama kubwa ,isitoshe tumepata mkwanja,mzigo wa nguvu , mnene tunashindwaje kwa mfano ....
Wale cules wa ukweli njooni huku hawa ndio legends wa Barca
View attachment 558710
Unamkwepa vipi Messi wakati umezaliwa kwenye era yake?
Una moyo me league pori hua siangaliiDuuh,nimewatazama PSG,mechi yao leo ya league-yaani sielewi kabisa walitufunga vipi ile first leg.League ya France leaves a lot to ponder.
Lucho ndiye aliyetukosesha league na champions league kwa kupanga wachezaji wake anaojua yeye. Zipo taarifa za chini ya capert kuwa ilifikia kipindi Messi alipiga mkwara kuwa gomes asipangwe kwenye mechiDuuh,nimewatazama PSG,mechi yao leo ya league-yaani sielewi kabisa walitufunga vipi ile first leg.League ya France leaves a lot to ponder.
Mechi inayofuata tunawafunga tena Madrid , if you don't believe me, take my words
Hilo halina ubishi hao ni wateja wetu wa siku zote!Mechi inayofuata tunawafunga tena Madrid , if you don't believe me, take my words
mkuu mbona adimu jukwaanibarcelona haimtegemei mchezaji fulani namuonea huruma huyu neymar siku psg itakapotua katika dimba la camp nou