FineForever
JF-Expert Member
- Apr 12, 2017
- 1,777
- 2,356
Yaani kwamba hivi, Paco ni jipu na wangemuuza tu. Jamaa huwa yupo yupo tu, sometimes unaweza ukafikiri huwa anajifanyisha kutokufunga mabao...Ila Paco anamatatizo gani? Kwenye mechi hafungi kwa ukawaida. Hadi penalty anakosa kiuzembe. Amekuwa mzigo mkubwa. Amepiga penati kama mchezaji wa RM😉🙂🙂
Ila uongozi w Barca very slow! Wikendi iliyopita walisema mpaka kufikia j5 wiki hii watakuwa wamekamilisha usajili wa Coutihno (120M) na Martinez (32M)...lakini cha kushangaza kwenye app yao (Barcelona Live) wamepost picha za wachezaji (Coutihno,Coutinho to Barc is almost deal done source[ ESPN UK]
Hiyo page sometimes inazingua fanya kuwafollow ESPN UK fb,hawa jamaa wako more updated.hata hao Barcelona live na goal.com Mara nyingi wanatoa habari kutoka ESPN UKIla uongozi w Barca very slow! Wikendi iliyopita walisema mpaka kufikia j5 wiki hii watakuwa wamekamilisha usajili wa Coutihno (120M) na Martinez (32M)...lakini cha kushangaza kwenye app yao (Barcelona Live) wamepost picha za wachezaji (Coutihno, Dembele, Seri na Martinez) wakisema "Barcelona won't spend crazy".... Sema ukweli wamenikata steam balaaaa
"Life+time"
Ila uongozi w Barca very slow! Wikendi iliyopita walisema mpaka kufikia j5 wiki hii watakuwa wamekamilisha usajili wa Coutihno (120M) na Martinez (32M)...lakini cha kushangaza kwenye app yao (Barcelona Live) wamepost picha za wachezaji (Coutihno,
Sent using Jamii Forums mobile app
Aende tu nimesha give up kwa Arda mzito sana siku hiziHabari nzuri. Galatasaray wanamtaka fat Arda.
Yani huyo mtu ni mbovu mara 10 kushinda hata Andes GomesIla Paco anamatatizo gani? Kwenye mechi hafungi kwa ukawaida. Hadi penalty anakosa kiuzembe. Amekuwa mzigo mkubwa. Amepiga penati kama mchezaji wa RM😉🙂🙂
Sergi Samper yuko vizuri mtoe hapo ana future nzuri sana akipewa muda wa kucheza zaidiBarcelona kuna wachezaji wengi ambao wanatakiwa kuuzwa
......Andre Gomez
......Sergi Samper
......Thomas Vermaleni
.......Arda turani
.......Paco Alcer
kwa mtizimo wangu watu wakusajili ni hawa hapa
.......paulo Dybala
.......philipe coutinho
.......Eden Hazard
Watu wa kupewa nafasi katka timu
Carles Alena dogo yuko vizuri anaweza kuwa mbadala wa Ineasta
Muniri nahci yupo vzur ukilinganisha na Paco Alcer.
Sent using Jamii Forums mobile app
Usajili wa timu yetu pasua kichwa kabisa hata haueleweki.Mbona kimya umu leo usajili vipi jaman
Cjui apa kamaansha nn
Mkuu mwekundu ni kweli acha tuvute subra ila yataka moyo kweli kweli na siku zinazidi kukimbia balaa hii habari ya Few hours later zinazingua sana.Jamani management inafanya kazi underground siku wakiibuka wanakuja na nondo hatari sana ,kuna usajili nilishasema nyuma uko tayari umekamilishwa
Kuna sababu zinasababisha ifanye kazi hivyo mfano Dembele hadi Real Madrid wanajifanya wanamtaka kitu ambacho inasababisha bei ya mchezaji kupaa juu
So lets calm down mambo mazuri hayahitaji haraka
Mkuu mwekundu ni kweli acha tuvute subra ila yataka moyo kweli kweli na siku zinazidi kukimbia balaa hii habari ya Few hours later zinazingua sana.
Sent using Jamii Forums mobile app
Mkuu mwekundu ni kweli acha tuvute subra ila yataka moyo kweli kweli na siku zinazidi kukimbia balaa hii habari ya Few hours later zinazingua sana.
Sent using Jamii Forums mobile app
Kuhusu Coutinho since last week waliahidi atatambulishwa siku ya Super Cup 13/08 Camp Nou against Real MadridNaona Barca itamtambulisha Coutihno Camp Nou kama mchezaji rasimi....
Sent using Jamii Forums mobile app
Jipeni moyo.Kuhusu Coutinho since last week waliahidi atatambulishwa siku ya Super Cup 13/08 Camp Nou against Real Madrid
Huu ni usajili ambao ni ahadi ya moja kwa moja kutoka kwa Rais Bartmeour baada ya kushindwa deal la Veratti kwahiyo kutakua na signing nyingine kubwa kabla ya transfer window haijafungwa
Stay tuned ni suala la ufundi na muda tu wakuu