FC Barcelona (Barça or Blaugrana) | Special Thread

FC Barcelona (Barça or Blaugrana) | Special Thread

ifikie kipindi barca waaachane nae nafasi yake inaweza kuchukuliwa na Michael Jean Serri. tukimpata mpata dembele toshaaaa kabisa. Calles allena ataendelea kupata uzoefu na ndo iniesta wetu ajae. Paco, Gomes, Vamaleen,Munir elhadad wamedhauzwa?
Seri nasikia anapatikana hadi kwa 30M ,huyu niggar
 
Jamani Neymar anatunafikia kwa Coutinho, huyu dogo aondoke vizuri Barca hata kama anatuchukia sio kwa style hiyo tunajua na tunauheshimu urafiki wake na Coutinho, nasikia ame propose kwa management ya PSG dogo anunuliwe so liverpool wanam reserve ili wapate fedha ndefu zaidi
Yule msengerema sana nasikia little magician kawachomolea psg muda sana .........anatamani psg iwe ya wabrazil watupu hajui kuwa silva wakati wowote anaondoka pale umri mrefu dani nae umri umeenda
 
Yani wale borrusia ndio mapunguani kweli yani mchezaji status yake ndogo wanasema 150 sasa pierre watamuuza kiasi gani
Barca walikuwa na option kumsajili Dembele kwa €15m msimu uliopita kabla hajasajiliwa na Dortmund wakazembea
 
Jamani Neymar anatunafikia kwa Coutinho, huyu dogo aondoke vizuri Barca hata kama anatuchukia sio kwa style hiyo tunajua na tunauheshimu urafiki wake na Coutinho, nasikia ame propose kwa management ya PSG dogo anunuliwe so liverpool wanam reserve ili wapate fedha ndefu zaidi
Dogo ana akili za Kishamba sana, Anajua coutinyo akienda hapo Barca itaendelea kuwa strong zaidi, na ikiwa hivyo maana yake itakula kwake
 
0b4a19e17e4b1ee8f4a6c4ea01027571.jpg




Sent using Jamii Forums mobile app
 
Back
Top Bottom