FC Barcelona (Barça or Blaugrana) | Special Thread

ifikie kipindi barca waaachane nae nafasi yake inaweza kuchukuliwa na Michael Jean Serri. tukimpata mpata dembele toshaaaa kabisa. Calles allena ataendelea kupata uzoefu na ndo iniesta wetu ajae. Paco, Gomes, Vamaleen,Munir elhadad wamedhauzwa?
Seri nasikia anapatikana hadi kwa 30M ,huyu niggar
 
Yule msengerema sana nasikia little magician kawachomolea psg muda sana .........anatamani psg iwe ya wabrazil watupu hajui kuwa silva wakati wowote anaondoka pale umri mrefu dani nae umri umeenda
 
Yani wale borrusia ndio mapunguani kweli yani mchezaji status yake ndogo wanasema 150 sasa pierre watamuuza kiasi gani
Barca walikuwa na option kumsajili Dembele kwa €15m msimu uliopita kabla hajasajiliwa na Dortmund wakazembea
 
Dogo ana akili za Kishamba sana, Anajua coutinyo akienda hapo Barca itaendelea kuwa strong zaidi, na ikiwa hivyo maana yake itakula kwake
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…