FC Barcelona (Barça or Blaugrana) | Special Thread

Ok match tumeikosea kwenye ku score na RB
Tumetengeneza chances nyingi sana tukashindwa kufunga na pia midfield hawajafanya kazi yao ipasavyo ,pass tengefu hazijatengenezwa vizuri na left wing hawakufanya roles zake mwisho Terstegen leo ametulisha nywele zile kick sio za kiwango cha yeye kushindwa kuzitoa
Kwanini match kama hizi Macherano asinge fit kule kama Pseudo (fake ) RB?
 
I'm sooooo happy
This proves Neymar can not be replaced and I guess we will eventually have him at Bernabeu[emoji38][emoji38][emoji38]
I said we are going to win this game..AND WE WON!
haha..RIP BARCA
And that what you call a goal keeper..what a joke!
Tonight we just gave u the taste of how it will be the entire season..de rey,la liga..Ours to win!
Em nkalale mie kwa raha zangu
HALA MADRID!
 
Next match tutashinda ila Aleix Vidal apumzishwe na Deleof akae kwanza kando aelewe mchezo Dennis aanze ,vilevile Macherano aanze kucheza kama fake RB wakiwa mabeki watatu team inatulia sana
 
kwanini semedo hajaanza yule fala vidal amekaa mwaka mzima lakini habadiliki aiseee
 
Hakuna haja ya Pseudo RB. Kwanini asingecheza semedo FFS!? Vidal right flank ilishamshinda.
 
Next match tutashinda ila Aleix Vidal apumzishwe na Deleof akae kwanza kando aelewe mchezo Dennis aanze ,vilevile Macherano aanze kucheza kama fake RB wakiwa mabeki watatu team inatulia sana
beki hapandishi timu kabisa nyuma napo haeleweki basi tabu tupu.....huyu deleof hakabi wala kunyambulika kwenye box hawezi mwaka huu watatuua kwa presha
 
Leo wachezaji wengi walicheza chini ya kiwango imesababisha hadi Messi aumie sana kuifuata mipira katikati

Rakitic hajacheza vizuri,Deleouf,Aleix Vidal,hadi Iniesta hakufunguka na ku hold mipira sana katikati ndio maana hata attemp za Messi zilikua chache sana dk kama 70 hivi beki ilicheza vizuri sijui RB kukakumbwa na mdudu gani a such distance wanatuchungulia daaah
Ngoja second leg
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…