FC Barcelona (Barça or Blaugrana) | Special Thread

Nahisi Rakitic kama hakuna RB mzuri huwa anapoteana.
Mkuu tangu xav aondoke ractic kacheza misim miwil tu intensively... Mtu ambae hanyumbulik tena kiungo n tatzo kubwa sana... Ndo el classical za mwanzo kabsa enrique alimtumia sergio ribert, iniezta. Na busquet... Ractic making mbovu... Jaribu kufuatilia hata game ya psg last seasonal... Alizengua sana... Footwork imepungua mno... Huyu n wa kuuzwa tu...

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Mkuu tatzo letu c winga... Bal viungo... Tangu zaman enz za kina kluvert na rivado na ronaldo de lima hatukuwah kutegemea winga... So hii ndo weakness ya board ya barca

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Uko sahihi mkuu ila asiuzwe mi toka kitambo natamani Raktic awe mbadala wa Sergi Roberto yan Sergi roberto awe anaanza
 
Inafkria zaid pengo la neymar badala ya kufkria suluhisho la kudum kwenye kiungo cha kat...naona zizzou kafanikiwa kumuandaa isco... Cc tunashindwa nn wakat hazna tunayo

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Hii timu ni mbovu kiuhalisia ukilinganisha na Real Madrid ya sasa hivi,kila siku nakuelezea.Timu ya kumfunga Real Madrid 5/6 ilikuwa ni ile ya Pep sio hii ya wachezaji wabovu
Timu imecheza hovyo sana leo. Mzimu wa RB/alves bado unatuandama. Vidal haiwezi ile nafasi dhidi ya timu kubwa. I hope jtano tutaanza na Semedo. Bado naamini tuna timu ya kumfunga RM 5 nikiangalia chances tunazotengeneza. Tumepiga kona kama 12 dhidi ya 4/5. Bado tuko vizuri kwenye kuattack. Ni vile Del na Vidal walikuwa watepetevu.
 
Kama umeangalia mechi zote mbili huwezi kuja na hitimisho la kizembe namna hii.
 
Watakuwa wamejitahidi sana. Sijui timu zingine zinashindwaje kuwafunga. Ukiwacheki hata msimu uliopita walikuwa wanashinda jibahatibahati kweli.

Hatimaye na nyinyi mumeingia kwenye orodha ya hizo timu nyengine Kwa kushindwa kutufunga, HaHaHa!...unafikiri kumfunga Real ni simple tu eeh?
 
Wtf?? Poor defending from our back line. Kwa football hii siza. Kama tutafika popote this season.
Iv kwann wasitafute mbadala wa pique?? This man is tired aisee.. he definitely need a break.
 
Alex vidal??...a definition of disgrace. ....[emoji30][emoji30][emoji30][emoji30][emoji30]
 
Sio making tu hata pass hovyo mipira mingi alikuwa anapoteza kizembe.ile barca ya pep sijui kama tutaipata tena

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Hamna mtu au beki amecheza vizuri sana jana kam Umtiti credit kwake ,ila Coach anatakiwa amuanzishe Macherano pia au Semedo
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…