Wana Barca wenzangu, poleni kwa yaliyitukuta, ila ni heri yametokea Mapema ili tujirekebishe.
Kuna mambo kadhaa tunahitaji kuyajua na kuyajubali kuhusu mechi ya juzi.
1. Tukifungwa mechi ya juzi
2. Team ilicheza vizuri sana
3. Wakati tunatafuta goal la pili, tulifanyiwa shambulizi la kushitukiza ambalo Vidal alichelewa kurudi Ronaldo akafunga
4. Wakati pressure ilikuwa kubwa kutaka kusawazisha goal la pili, tulipoteza mpira kimasihara, wakati pass inatolewa kwa Assensio, rakitic kama sikosei aliusindikiza ule mpira kwa macho,wakati huo Vidal hakuwa tena kwenye position yake, Goal la tatu.
4. Sijui ni kwa nini kocha anamwamini Vidali dhidi ya team ambayo ni deadly kwa mashambulizi ya kushitukiza
5. Sergi Robert anatakiwa anatakiwa aanze badala ya Rakitic
6. Tunatakiwa kutumia nafasi vizuri kwa kila nafasi tunayopata
7. Mechi ijayo tutashinda na kuchukua kombe