balibabambonahi
JF-Expert Member
- Apr 5, 2015
- 15,771
- 14,294
Ana kombe la bara lake mkononi,huyo wako ana nini mkononi ukiachana na ngazi ya klabu? Ukikataa siwezi kukulazimisha ila ukweli,kimataifa Messi ni failure ndo maana kuna wakati alipata tafrani(frustration) akaamua kujistaafisha timu ya taifa baadaye alipomkumbuka Cr7 akarejea lakini bado hajafanikiwa,ana tofauti gani na John Boko?Huyo unamtaja amewahi hata kucheza fainali?
We uliwahi kukaa lini ukajipinda ukaandika thread hivi na ukaikubali Barca kuwa wanacheza mpira mzuri?hypocrite mashabiki wa man mna uhusiano mkubwa sana na Madrid ,kuhusu kufa kwa Barca kila mwaka mnatabiri sana na ku wish ife but We rise
Nyie Madrid tumewafunga mara ngapi goli 4,5 etc kuna mtu alitabiri li team lenu limekufa?yeah so hiyo unayoiota sio analysis ya team yetu ,you are so biased
Wanajisahaulisha Messi alishashinda olympic World Cup kitambo sana 2008 huko
Barcelona sio lelemama na kufungwa hatujaanza leo hivyo hilo ni dua la kuku
We unaishi kwenye ulimwengu wa giza endelea kuamini mahoka yakoAna kombe la bara lake mkononi,huyo wako ana nini mkononi ukiachana na ngazi ya klabu? Ukikataa siwezi kukulazimisha ila ukweli,kimataifa Messi ni failure ndo maana kuna wakati alipata tafrani(frustration) akaamua kujistaafisha timu ya taifa baadaye alipomkumbuka Cr7 akarejea lakini bado hajafanikiwa,ana tofauti gani na John Boko?
Sent using Jamii Forums mobile app
😀😀😀😀😀View attachment 568152
Kocha nadhani hua anaingia kichwani mwangu hii march kwa kumuanzisha S Roberto na Macherano tayari tumeshashinda
Formation yakuzivunja full back zote tayari ni ushindi ,fake RB na LT viungo wengi katikati ni overwhelming game ,high pressing ,attack attack Forca Barca
Match prediction Barcelona 4-Madrid 1
Kuna waliokula unga wa ndele,wapooo,kuna wanye mahaba ,wapooo,,ushabiki maandaazi,, upooooo nk ,nk, Muwindaji husifiwa kwa kuleta kitoweo nyumbani siyo mbiyo alizokimbia au mikuki aliyorusha.We unaishi kwenye ulimwengu wa giza endelea kuamini mahoka yako
Hahahah na sasa watacheza na referee hadi kwenye ndondo cupUkisikia safari ndio hiyo sasa. Huwezi kila safari wewe ni mteremko tu.
Mbadala wa Neymar ni Referee tu...
Sent using Jamii Forums mobile app
We unaishi kwenye ulimwengu wa giza endelea kuamini mahoka yako
Nikiiangalia timu yenu khalafu nawakumbuka watu hawaHuyu kocha mpya ana kaz kubwa ya kufanya. Beki na middle ziko vibaya sana. Msimu huu nadhan utakua kama ule wa tata martino. Will be nothing new.
Hatutatoka na ndoo hata moja wazee.
Ha ha u are a joke so hauwi best hadi uifunge Barca shame on youConfirmed by Pique : Real Madrid is the best team in the World
Ha ha u are a joke so hauwi best hadi uifunge Barca shame on you
Wahenga fcMessi 30, Iniesta 33, Mascherano 33, Busquet 30, Pique 30 na sasa mnamsaini Paulinh 29. Is it football club or retirement home?
Ha ha u are a joke so hauwi best hadi uifunge Barca shame on you
We sio shabiki ni mfuata upepo sio kosa lakoWewe mwekundu naona unatupigia makelele yako tu humu.
Mechi tumefunga, tumegongwa nje na ndani, kombe limebebwa wewe bado unajifanya kichwa ngumu...
Hutaki kukubali kuwa pengo la Neymar halitazibika...
Kubabake kama unaendelea kuleta unafiki wako humu tutamuambia Admin aku remove.
Acha Ujinga. Tumefungwa. Na mwaka huu sioni dalili ya kombe lolote kuja Camp Nou.