Labda dk ya 80. King kapiga mwamba hapa ilikuwa atoke na hat trick.Kocha kwa nini asimjaribishe Paulinho badala ya huyu Paco?
Rakitic hamna kitu ,creativity 0wakuuzwa ni Arda turani, Paco Alcacer, na gomes.Alcantara asiuzwe dg anajua yule
Ndio original yake hiyo saba au elevenDennis akipiga winger anaupiga mwingi.