FineForever
JF-Expert Member
- Apr 12, 2017
- 1,777
- 2,356
Haya sasa Isco Jana hakuwa uwanjani dhidi ya Betis??? "Lack of concentration" inaweza ikumba timu yoyote, lakini wewe ukawa unahisi mechi ambayo tumeshinda eti tungekutana na Isco angefanya maangamizi. Sasa jiulize mbona huyo Isco wako dhidi ya Betis hajafanya huo uangamizaji uliokuwa unauwazia kwetu?. Mpira ni dk 90 zikiisha mmeshinda unashukuru MUNGU tu. Siyo kujigamba gamba kila mahali tu, wakati mwingine sifia tu kama mwenzio kafanya poa.Bro nimeona game yako Jana, you scored many goals lakini ile lack of concentration in first 20 minutes Isco could do a lot of demage there alafu ndio mngechanyikiwa.
Achana na PAGAN hajui alitendalo. Unapoteza muda wako bureHaya sasa Isco Jana hakuwa uwanjani dhidi ya Betis??? "Lack of concentration" inaweza ikumba timu yoyote, lakini wewe ukawa unahisi mechi ambayo tumeshinda eti tungekutana na Isco angefanya maangamizi. Sasa jiulize mbona huyo Isco wako dhidi ya Betis hajafanya huo uangamizaji uliokuwa unauwazia kwetu?. Mpira ni dk 90 zikiisha mmeshinda unashukuru MUNGU tu. Siyo kujigamba gamba kila mahali tu, wakati mwingine sifia tu kama mwenzio kafanya poa.
Mtu anaepiga puchu ni sawa na choko tu hata wewe ni wale wale tuMumeo au sio... Vizuri
Mtu anaepiga puchu ni sawa na choko tu hata wewe ni wale wale tu
Mpiga nyeto ni sawa na shoga tuMishipa inawasimama kinoma mnapoona Mume wenu anasemwa semwa...
Basi sawa... Ngoja tukae kimya
Ni ww na mamaako pekeeKwanini sisi mashabiki wa Barca tuna washwa sana kufatilia maendeleo ya Waume zetu Galacticos zaidi kuliko maendeleo ya timu yetu....
Muda wotw masikio kama antenna kusikia Jirani zetu wamefanya nini badala ya kukomaa na timu yetu kuona namna gani nasie tuvunje record ya Double UEFA champions kama wao...
Mnajua wakuu nimegundua kuwa sisi mashabiki wa Barca tuna character kama za Nguruwe.
KING hafananishwi na players waliopita na haitatokea player wa kufanananae. May be baada ya 1000 years ahead.
Mechi itaanza 21:45 EATLeo tunapiga mechi na Girona saa 11 na robo jioni. Saa nane mchana Sevilla anakipiga na ATM. Sorry wakuu. Mechi yetu ni saa nne kasorobo usiku. Saa 11 na robo. Ni wale jamaa waliopigwa na Betis juzi.
Kweli kabisa hawa ni [emoji239][emoji239] [emoji239] wa siku kuu kubwa ya mwaka tunawatunza tutawachinja siku moja kabla ya X-mass kwenye El classico pale machinjioni kwetu,mpaka wanakuja kutoka club world cup wanakuja tu kutusindikiza maana mpaka sasa uhakika wa kuwaacha point kumi upo kabla ya mzunguko wa kwanza kuisha.Naona majirani wetu kule hali si hali. Bado wako tia maji tia maji.
Tunawaombea waendelee ivo ivo. wakipata one more loss and a draw, it's over!
Watatusindikiza mpaka mwisho wa msimu!