FineForever
JF-Expert Member
- Apr 12, 2017
- 1,777
- 2,356
Haya sasa Isco Jana hakuwa uwanjani dhidi ya Betis??? "Lack of concentration" inaweza ikumba timu yoyote, lakini wewe ukawa unahisi mechi ambayo tumeshinda eti tungekutana na Isco angefanya maangamizi. Sasa jiulize mbona huyo Isco wako dhidi ya Betis hajafanya huo uangamizaji uliokuwa unauwazia kwetu?. Mpira ni dk 90 zikiisha mmeshinda unashukuru MUNGU tu. Siyo kujigamba gamba kila mahali tu, wakati mwingine sifia tu kama mwenzio kafanya poa.Bro nimeona game yako Jana, you scored many goals lakini ile lack of concentration in first 20 minutes Isco could do a lot of demage there alafu ndio mngechanyikiwa.