Barca-Chelsea then Bayern-R Madrid Mbona kutapendeza then zikutane Barca na Real Madrid Piga uwa safarihii Barca anaumia.
Then they are actually winning the game on penalties....This kind of officiating is disgusting.
Penalty ya kwanza naona kama ilikuwa soft japokuwa experienced defender kama Nesta should have done that.
Barca wanamfanya Ibrahimovich aonekane kama Andy Carroll Dah.
Andy Carrol hajawahi kuanza mechi nyingi sana, na nafikiri alikuwa "overated".
Kenny Dalglish ameambiwa na owners atoe maelezo kwa maandishi ni kwanini timu hiyo hadi sasa imesimama kwenye nafasi ya nane.