FC Barcelona (Barça or Blaugrana) | Special Thread

FC Barcelona (Barça or Blaugrana) | Special Thread

Ribéry, Robben
David Alaba,
Holger Badstuber na Benatia HAWATAKUWEPO
 
Pia msimu uliopita goal keeper alituuza sana, pia ujio wa rakitic hapo kati na mathieu kwenye defence ni neema kubwa, bayern ni wadhaifu kwa mabeki ila tukiweza kuwadhibiti kwenye wings kwisha habari yao, naomba ALVES gemu limkubaji kama lile la PSG.

Winga atakuwepo Neymar kwa upande wa kushoto na kulia atakuwepo Lionel Andres Messi.
 
jackline1 karibu sana nyumbani. Hapa ndio home, achana na yale mapepo ya Real Madrid.
 
Last edited by a moderator:
Winga atakuwepo Neymar kwa upande wa kushoto na kulia atakuwepo Lionel Andres Messi.
Umekosea Barca hakuna winger maalum hao watatu wana criss cross na safari hii barca wanamwaga cross golini-Lazima Bayern wakae chini
 
Umekosea Barca hakuna winger maalum hao watatu wana criss cross na safari hii barca wanamwaga cross golini-Lazima Bayern wakae chini

-Sawa but nmetaja kuwa ni winga kutokana na Formation tuichezayo. Tuachane na hayo...
-Robben na Ribery watakuwepo?
 
-Bayern hawataweza kutupiga kama misimu miwili iliyopita walivyotufanya.
-Tunapaswa kuwa na matokeo mazuri zaidi ili kujilinda huko kwao.
-Na safari hii tunawang'oa
1. Timu haina majeruhi kama kipindi cha nyuma, na ikitokea majeruhi basi wanaoziba nafasi wapo. kipindi kile Messi alikuwa majeruhi japokuwa alilazimishwa kucheza, Beki pia zilikuwa majeruhi na Xavi ndo alianza kuchoka. Msimu huu tupo fiti.
2. Bayern ipo chini ya Pep Guardiola, Guardiola hana mbinu za kumchapa Barca pia Guardiola huwa ni kugeugeu sana ktk mifumo yake, Game yao majuzi tu hapa amebadili mfumo na timu ikawa inacheza kama ilivyokuwa chini ya Heynkess.
3. Munich wana majeruhi mengi, Porto wajinga sana kama Atletico Madrid, pamoja kuwa na majeruhi mengi kwa Real Madrid wakashindwa kuwatoa, ndivyo hivyo hata kwa Porto tena bora ya Porto walipata ushindi kwao ila kwenda German wakapata wenge. Sasa FC Barcelona haitafanya makosa ya kuwachekea hawa Bayern. Ribery, Robben, Bastian n.k wote hawa ni majeruhi ila wataingiingizwa ili kuleta ushindani tuu na kwa uzoefu, na kama mnavyojua mchezaji ambae umri umeenda kisha akawa majeruhi na akarudi uwanjani jinsi anavyokuwa.
4. Hapa atajaza chebi
5. Kipenzi everlenk harafu nimekumiss sanaaaaa!!!
6. MO11
7. Anyone

It is a time now to prove to the world that we are the Barcelona the Champion of the Europe.....

Sababu tunayo,nguvu tunazo, ari tunayo lazima Bayern atulizwe final ni lazima kuingia, hakuna kitu kilicho muhimu kwetu kama hii ndoo ya CL kuja Camp neu.
#VamosBarca

Cc chebi Watu8
 
Last edited by a moderator:
It is a time now to prove to the world that we are the Barcelona the Champion of the Europe.....

Sababu tunayo,nguvu tunazo, ari tunayo lazima Bayern atulizwe final ni lazima kuingia, hakuna kitu kilicho muhimu kwetu kama hii ndoo ya CL kuja Camp neu.
#VamosBarca

Cc chebi Watu8

Mkuu Champions of the Europe mpaka sasa ni Real Madrid. Sitaki kubishana.
 
Last edited by a moderator:
It is a time now to prove to the world that we are the Barcelona the Champion of the Europe.....

Sababu tunayo,nguvu tunazo, ari tunayo lazima Bayern atulizwe final ni lazima kuingia, hakuna kitu kilicho muhimu kwetu kama hii ndoo ya CL kuja Camp neu.
#VamosBarca

Cc chebi Watu8

Hakuna ugumu wa kushindwa kuwatoa Bayern.
 
Last edited by a moderator:
It is a time now to prove to the world that we are the Barcelona the Champion of the Europe.....

Sababu tunayo,nguvu tunazo, ari tunayo lazima Bayern atulizwe final ni lazima kuingia, hakuna kitu kilicho muhimu kwetu kama hii ndoo ya CL kuja Camp neu.
#VamosBarca

Cc chebi Watu8

Mamdogo wangu kachemka utabiri wake bingwa Bayern bwana
 
Last edited by a moderator:
Yaani haifai hata kubishana bingwa ni Barca

Hujanielewa nadhani ninaposema mpaka sasa. Ninamaanisha kuwa Real ndio mtetezi.
Kuhusu nani atakayechukua hiyo sijui ila ni kati ya timu zote 4 zilizoingia 1/2 fainal.
Ila kwa sasa Champions ni Real na sio Barca.
Nadhani umenielewa ni somo rahisi lisilo hitaji hata tution
 
Hujanielewa nadhani ninaposema mpaka sasa. Ninamaanisha kuwa Real ndio mtetezi.
Kuhusu nani atakayechukua hiyo sijui ila ni kati ya timu zote 4 zilizoingia 1/2 fainal.
Ila kwa sasa Champions ni Real na sio Barca.
Nadhani umenielewa ni somo rahisi lisilo hitaji hata tution

Relax.......Kwasasa hatudili na yaliyopita Bali yajayo........
 
Wapi chebi na Aleyn ?? Espanyol hao mnaizungumziaje mechi ya leo wadau??
 
Last edited by a moderator:
02.jpg
 
Back
Top Bottom