Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Pia msimu uliopita goal keeper alituuza sana, pia ujio wa rakitic hapo kati na mathieu kwenye defence ni neema kubwa, bayern ni wadhaifu kwa mabeki ila tukiweza kuwadhibiti kwenye wings kwisha habari yao, naomba ALVES gemu limkubaji kama lile la PSG.
Ribéry, Robben
David Alaba,
Holger Badstuber na Benatia HAWATAKUWEPO
hata wawepo safari hii hatuwaachiRibéry, Robben
David Alaba,
Holger Badstuber na Benatia HAWATAKUWEPO
Umekosea Barca hakuna winger maalum hao watatu wana criss cross na safari hii barca wanamwaga cross golini-Lazima Bayern wakae chiniWinga atakuwepo Neymar kwa upande wa kushoto na kulia atakuwepo Lionel Andres Messi.
Umekosea Barca hakuna winger maalum hao watatu wana criss cross na safari hii barca wanamwaga cross golini-Lazima Bayern wakae chini
-Bayern hawataweza kutupiga kama misimu miwili iliyopita walivyotufanya.
-Tunapaswa kuwa na matokeo mazuri zaidi ili kujilinda huko kwao.
-Na safari hii tunawang'oa
1. Timu haina majeruhi kama kipindi cha nyuma, na ikitokea majeruhi basi wanaoziba nafasi wapo. kipindi kile Messi alikuwa majeruhi japokuwa alilazimishwa kucheza, Beki pia zilikuwa majeruhi na Xavi ndo alianza kuchoka. Msimu huu tupo fiti.
2. Bayern ipo chini ya Pep Guardiola, Guardiola hana mbinu za kumchapa Barca pia Guardiola huwa ni kugeugeu sana ktk mifumo yake, Game yao majuzi tu hapa amebadili mfumo na timu ikawa inacheza kama ilivyokuwa chini ya Heynkess.
3. Munich wana majeruhi mengi, Porto wajinga sana kama Atletico Madrid, pamoja kuwa na majeruhi mengi kwa Real Madrid wakashindwa kuwatoa, ndivyo hivyo hata kwa Porto tena bora ya Porto walipata ushindi kwao ila kwenda German wakapata wenge. Sasa FC Barcelona haitafanya makosa ya kuwachekea hawa Bayern. Ribery, Robben, Bastian n.k wote hawa ni majeruhi ila wataingiingizwa ili kuleta ushindani tuu na kwa uzoefu, na kama mnavyojua mchezaji ambae umri umeenda kisha akawa majeruhi na akarudi uwanjani jinsi anavyokuwa.
4. Hapa atajaza chebi
5. Kipenzi everlenk harafu nimekumiss sanaaaaa!!!
6. MO11
7. Anyone
It is a time now to prove to the world that we are the Barcelona the Champion of the Europe.....
Sababu tunayo,nguvu tunazo, ari tunayo lazima Bayern atulizwe final ni lazima kuingia, hakuna kitu kilicho muhimu kwetu kama hii ndoo ya CL kuja Camp neu.
#VamosBarca
Cc chebi Watu8
It is a time now to prove to the world that we are the Barcelona the Champion of the Europe.....
Sababu tunayo,nguvu tunazo, ari tunayo lazima Bayern atulizwe final ni lazima kuingia, hakuna kitu kilicho muhimu kwetu kama hii ndoo ya CL kuja Camp neu.
#VamosBarca
Cc chebi Watu8
Mkuu Champions of the Europe mpaka sasa ni Real Madrid. Sitaki kubishana.
It is a time now to prove to the world that we are the Barcelona the Champion of the Europe.....
Sababu tunayo,nguvu tunazo, ari tunayo lazima Bayern atulizwe final ni lazima kuingia, hakuna kitu kilicho muhimu kwetu kama hii ndoo ya CL kuja Camp neu.
#VamosBarca
Cc chebi Watu8
Mkuu Champions of the Europe mpaka sasa ni Real Madrid. Sitaki kubishana.
Yaani haifai hata kubishana bingwa ni Barca
Hujanielewa nadhani ninaposema mpaka sasa. Ninamaanisha kuwa Real ndio mtetezi.
Kuhusu nani atakayechukua hiyo sijui ila ni kati ya timu zote 4 zilizoingia 1/2 fainal.
Ila kwa sasa Champions ni Real na sio Barca.
Nadhani umenielewa ni somo rahisi lisilo hitaji hata tution