FC Barcelona (Barça or Blaugrana) | Special Thread

FC Barcelona (Barça or Blaugrana) | Special Thread

Penadlo angefunga tusingelala

daaaah maana kupiga kimoja kile walishaanza oooh top score wa uefa ooooh mala vile NA NILICHOKIGUNDUA KITU KIMOJA NI KUWA MADRID WAKIFUNGWA ALAF PENADO AKIFUNGA HAIWAUMI SANA SABABU UTAWASKIA HALLLA MADRID HALLA PENADO ILA WAKIFUNGWA NA PENADO ASIFUNGE HAPO ATATAFUTWA MCHAW AKIANZIA NA KOCHA ALAF AJE BALE N.K
 
Huyu Messiah bado umri unamruhusu tofauti na huyo babu penado,bado ataendelea kuvunja record hadi ataanza kuvunja record zake....
 
Huyu Messiah bado umri unamruhusu tofauti na huyo babu penado,bado ataendelea kuvunja record hadi ataanza kuvunja record zake....

cha kusikitisha na kufurahsha katika rekodi 125 za messi Penado kavunja moja tu ile ya top score wa uefa kwa mwaka jana alipomaliza na goli 17 kama ckosei ila nyingine zilizobaki thubutu yake atackia kwa jirani na ndio kwanza anazd zeeka
 
Mbona kila mtu anamtaja Messi, Messi kafanya nini jamani?

_82817876_lawrographic.png
 
Mbona kila mtu anamtaja Messi, Messi kafanya nini jamani?
Dunia inalalamika Neymar kawanyima uhondo wa grand finale mechi ya marudiano,game ingeisha 2-0 angalau Bayern wangekuwa na a whisker of hope. Guadiola anaingia kwenye vitabu vya record kwa kuweza kumzidi Barca possession 54% Bayern-crisis meeting inaendelea Barcelona eti afadhali kufungwa kuliko kuzidiwa possession. goal la pili la messi kuingizwa katika hall of fame hili vizazi vijavyo wajue kwamba kuliwahi tokeo maajabu zama za kale- kutoka jikoni ni mimi reporter jackline
 
kila kitu leo Barcelona kinauzwa 30% off-feel good factor iliyoukumba huu mji leo hauna kipimo-asante sana messi and co
 
@6Jackline1 kuna watu tunabishana kati ya trinity hizi mbili ipi ni bora,ya kwanza ni ile ya Mesiah,gaucho na Etoo nyingine ni Neymar,Suarez na Mess....mie nasema ya kina gaucho ilikuwa ni ya viwango na speed,yani mpira ukienda ujue kuna goli,hii Neymar bado anatabia za kipanado so compatibility inakosekana....
 
@6Jackline1 kuna watu tunabishana kati ya trinity hizi mbili ipi ni bora,ya kwanza ni ile ya Mesiah,gaucho na Etoo nyingine ni Neymar,Suarez na Mess....mie nasema ya kina gaucho ilikuwa ni ya viwango na speed,yani mpira ukienda ujue kuna goli,hii Neymar bado anatabia za kipanado so compatibility inakosekana....

Kali ni ya sasa sababu kama sikosei ile trio ya kina gaucho ilikuwa na goli 102 ila hii MSN mpaka sasa ni 109 kama sikosei hvyo bora ni hii . NAWASILISHA
 
@6Jackline1 kuna watu tunabishana kati ya trinity hizi mbili ipi ni bora,ya kwanza ni ile ya Mesiah,gaucho na Etoo nyingine ni Neymar,Suarez na Mess....mie nasema ya kina gaucho ilikuwa ni ya viwango na speed,yani mpira ukienda ujue kuna goli,hii Neymar bado anatabia za kipanado so compatibility inakosekana....

mpira ume evolve sana,mifumo imebadilika sana-mbali ya magoli mpira unatakiwa uwe a joy to watch(ndio maana mourinho hata abravomich hampendi lakini hana jinsi) hapa ndio inaingia hii trio ya sasa ya barca sleek movements zao zinatuongezea siku za kuishi duniani- Neymar kwa style ya barca yupo poa- Suarez ndio anatumia nguvu nyingi punde atapoanza ku relax msimu ujao hii trio itakuwa hatari maradufu in conclusion hii safu ya mbele ni the most deadly in soccer history
 
Kali ni ya sasa sababu kama sikosei ile trio ya kina gaucho ilikuwa na goli 102 ila hii MSN mpaka sasa ni 109 kama sikosei hvyo bora ni hii . NAWASILISHA

umesahau kwamba Suarez alikaa miezi 2-3 kwahiyo alikosa Game nyingi tuu, pata picha na yeye angeanza tangu mwanzo.
 
Berlin (AFP) - reasons why Bayern Munich lost 3-0 to Barcelona in their Champions League semi-final, first-leg ahead of Tuesday's return leg at the Allianz Arena:

1) Lionel Messi - The midfield maestro netted twice in three minutes to stun Pep Guardiola's Bayern before putting Neymar through to score the hosts' third goal with the type of inspired performance which could make the Argentinian a shoe-in for the 2015 Ballon d'Or if repeated.


2) Jerome Boateng - He may have won the World Cup, the Champions League and three Bundesliga titles, but the Germany centre-back was left prostrate on the Camp Nou turf in the wake of some magical footwork from Messi for his second goal. It was a move former England international Jamie Redknapp described as "almost illegal".
 
Dunia inalalamika Neymar kawanyima uhondo wa grand finale mechi ya marudiano,game ingeisha 2-0 angalau Bayern wangekuwa na a whisker of hope. Guadiola anaingia kwenye vitabu vya record kwa kuweza kumzidi Barca possession 54% Bayern-crisis meeting inaendelea Barcelona eti afadhali kufungwa kuliko kuzidiwa possession. goal la pili la messi kuingizwa katika hall of fame hili vizazi vijavyo wajue kwamba kuliwahi tokeo maajabu zama za kale- kutoka jikoni ni mimi reporter jackline

...Salute!
 
umesahau kwamba Suarez alikaa miezi 2-3 kwahiyo alikosa Game nyingi tuu, pata picha na yeye angeanza tangu mwanzo.

yap ni kweli kama sikosei alianzia oktoba 25 daaah kweli ni shiiiida MSN
 
Back
Top Bottom