Atoto
JF-Expert Member
- Jul 19, 2013
- 86,410
- 169,862
Am team Barcelona and Messi
Safi sana, sasa mkuu we vipi mpira unaujua jua??
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Am team Barcelona and Messi
Kweli mashabk wa barca wengi ni wa mwaka 2012
Am team Barcelona and Messi
ha ha ha ha ha ha ha tena mamy tuliwafunga nchini mwao na goli tatu kwa.moja mpaka kocha wao akawa anatetemeka.ikabid yule kipa wao astaafu baada ya ile mechiOoooh hayo ndio maneno sasa, we cute b kumbe tumewatagisha mara mbili alafu bado unajidai sijui mashetani vitu gani!! Cheeeeeers to yo husbands!!
Kwani kuna tatizo mkuu!!! What maters si tunaishabikia au?
Sasa wewe cute b kwani hao bayern si tumefunga nusu fainal mbona unarukaruka na kama ni waital.mbona nyie man u fainal zote tumewapiga
Kwan nyie mna makombe mangap?
Kwan nyie mna makombe mangap?
ha ha ha ha ha ha ha tena mamy tuliwafunga nchini mwao na goli tatu kwa.moja mpaka kocha wao akawa anatetemeka.ikabid yule kipa wao astaafu baada ya ile mechi
Hahahaaa je mesi akija man?
#GGGMU
Kwan nyie mna makombe mangap?
Am team Barcelona and Messi
Aleyn nini tena mnanichangiaa.....mweee kumbe nipo ugenini kwaherini.Yaani atoke kwenye makombe aje pakame!? Hata kama wewe ndo ungekuwa Messi ungefanya ujinga kama huo!?
Am team man u and rooney
ha ha ha ha ha ha ha safi saaaana lazma uwe mkali ila pole na msiba mamaaSafi sana hicho ndicho kipigo kitakatifu, sahivi utakuwa unanipa na ratiba za mechi kabisa nirudishe hii hobi iliyoanza kufa baada ya alokuwa ananifanya nicheki mpira kufariki, sasa cute b utanitambua nakwambia hadi niujue mpira.
Nakuombea ukapotelee huko milele sawa mama?!!
Umesoma heading ya thread kweli mkuu??!!! Hebu soma tena alafu ujitathmini, au ndio njaa!!