Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
hana jipya huyo timu yake chelsea na tushaipiga 5 mara 2 mara ya kwanza 26/05/1966 hapo tuliipiga 5-0 na mwaka 2000 tukaipiga 5-1 na bado siku 10.tuipige tena 5 huko marekani. SISI NDIO BARCA KOMESHA YA CLUB ZOOOOTE DUNIANI
Nakucheki tu
Hao kulia kwao kawaida sana, na nyie msimu huu naona kipofu aliona jua ndio maana unajichetua hapa kumchora mume wenu Messi???
Hao kulia kwao kawaida sana, na nyie msimu huu naona kipofu aliona jua ndio maana unajichetua hapa kumchora mume wenu Messi???
Atiii? Najichetua?
Unamjua huyu? Huyu atamuweka mfukoni Messi
Atiii? Najichetua?
Unamjua huyu? Huyu atamuweka mfukoni Messi
Huyo atoto anaitwa zouma alikuwepo chelsea ikifungwa 2-1 na newcastle pia alikuwepo chelsea ikipigwa na totenham 5 pia alikuwepo chelsea ikipigwa na WESTBROM 3-0 sasa UNATAKA TUMJUE KIVIP
Mbona kavaa hereni nyingi hivyo, ndio anatekeleza ile sheria iliyopitishwa?
Afadhali leo upo maana wananioneaga na maswali yao ambayo wana majibu yake.
Umemuweka mahali pake now anamuita mkewe!! We Ntuzu wanaume wa hivi ndio huwa wakivamiwa na vibaka wanawaita wake zao huku wao wakikimbilia uvunguni.
ha ha ha ha ha ha hata mie nalijua hlo anatamani siku moja aje barcaMi mwenyewe nimegundua ni wivu tu unamsumbua dhidi ya barca.
ha ha ha ha ha ha hata mie nalijua hlo anatamani siku moja aje barca