FC Barcelona (Barça or Blaugrana) | Special Thread

FC Barcelona (Barça or Blaugrana) | Special Thread

atoto uchininunie ntalia km shabiki huyu Wa ase8

Hao kulia kwao kawaida sana, na nyie msimu huu naona kipofu aliona jua ndio maana unajichetua hapa kumchora mume wenu Messi???
 
Last edited by a moderator:
hana jipya huyo timu yake chelsea na tushaipiga 5 mara 2 mara ya kwanza 26/05/1966 hapo tuliipiga 5-0 na mwaka 2000 tukaipiga 5-1 na bado siku 10.tuipige tena 5 huko marekani. SISI NDIO BARCA KOMESHA YA CLUB ZOOOOTE DUNIANI

Watu weweeeeeeee! Hapana chezea Barca
 
Hao kulia kwao kawaida sana, na nyie msimu huu naona kipofu aliona jua ndio maana unajichetua hapa kumchora mume wenu Messi???

Atiii? Najichetua?

Unamjua huyu? Huyu atamuweka mfukoni Messi
 

Attachments

  • 1436877055128.jpg
    1436877055128.jpg
    17.1 KB · Views: 36
Atiii? Najichetua?

Unamjua huyu? Huyu atamuweka mfukoni Messi

Huyo atoto anaitwa zouma alikuwepo chelsea ikifungwa 2-1 na newcastle pia alikuwepo chelsea ikipigwa na totenham 5 pia alikuwepo chelsea ikipigwa na WESTBROM 3-0 sasa UNATAKA TUMJUE KIVIP
 
Last edited by a moderator:
Huyo atoto anaitwa zouma alikuwepo chelsea ikifungwa 2-1 na newcastle pia alikuwepo chelsea ikipigwa na totenham 5 pia alikuwepo chelsea ikipigwa na WESTBROM 3-0 sasa UNATAKA TUMJUE KIVIP

My baby everlenk njoo huku kuna watu wanaleta dhereu kwa Zouma
 
Last edited by a moderator:
Huyo atoto anaitwa zouma alikuwepo chelsea ikifungwa 2-1 na newcastle pia alikuwepo chelsea ikipigwa na totenham 5 pia alikuwepo chelsea ikipigwa na WESTBROM 3-0 sasa UNATAKA TUMJUE KIVIP

Afadhali leo upo maana wananioneaga na maswali yao ambayo wana majibu yake.
 
Last edited by a moderator:
Mbona kavaa hereni nyingi hivyo, ndio anatekeleza ile sheria iliyopitishwa?

Kuvaa hereni ni urembo tu Na si kutekeleza ile sheria Mkuu.

Afadhali leo upo maana wananioneaga na maswali yao ambayo wana majibu yake.


Hana lolote huyo PNC1 yani ninamchapa bakora za kufa MTU.

Tooooba huyuhuyu everlenk au mwingine!!
Eli79 haujambo? Nakusalimia tu.

Huyo Eli79 ni house boy wetu km unabisha mwambie aje hapa.



Umemuweka mahali pake now anamuita mkewe!! We Ntuzu wanaume wa hivi ndio huwa wakivamiwa na vibaka wanawaita wake zao huku wao wakikimbilia uvunguni.

Kumbe ulitaka nimwite nani? Aleyn baba mkwe au?
 
Last edited by a moderator:
Kuvaa hereni ni urembo tu Na si kutekeleza ile sheria Mkuu.




Hana lolote huyo PNC1 yani ninamchapa bakora za kufa MTU.



Huyo Eli79 ni house boy wetu km unabisha mwambie aje hapa.





Kumbe ulitaka nimwite nani? Aleyn baba mkwe au?

Jamani yo mean!!
 
Last edited by a moderator:
huyo ntuzu hana jipya anaruka ruka tu sijaona alipoizungumzia barca au kuiponda barca hvyo atoto huyu asikutishe

Mi mwenyewe nimegundua ni wivu tu unamsumbua dhidi ya barca.
 
Last edited by a moderator:
ha ha ha ha ha ha hata mie nalijua hlo anatamani siku moja aje barca

Aje mara ngapi? Uwepo wake tu humu unaonyesha ni jinsi gani anaikubali barca basi tu anaonyesha ushabiki wake in different way.
 
Aje mara ngapi? Uwepo wake tu humu unaonyesha ni jinsi gani anaikubali barca basi tu anaonyesha ushabiki wake in different way.
ha ha ha ha ha ha Ntuzu nina imani kalisikia hili ngoja aje kutoa povu hapa
 
Last edited by a moderator:
Back
Top Bottom