everlenk
JF-Expert Member
- Oct 5, 2012
- 11,628
- 15,027
Haya mambo angefanya yule mpaka poda C ronaldo ningeelewa lakini Messi of all people ni ngumu kumeza aiseee
Ngumu kumesaaa achaa!!! #AntiMess wanapondaje sasa?wamepata sababu yaani wanapaka rangi haswaa.....dah!!!sijui alivurugwaje!! Na Gabon walijitahidi kweli walimpa mzigo wa maana sanaa.....