FC Barcelona (Barça or Blaugrana) | Special Thread

FC Barcelona (Barça or Blaugrana) | Special Thread

Mamaee bora nirud zangu jukwaa la Fc Barcelona maana hii NEC ni %?#:**;%@
 
Kaka PNC 1 sema tumerudi wote maana hata mimi pia nimerudi aisee hii NEC nahisi imechota laana kwa Watanzania maana wameiba haki yetu.
Nimekumiss jackline1, najua na wewe ulikuwa ktk harakati, ukimaliza uje huku nyumbani tupumzike.
Dota everlenk, umempeleka wapi mtani wako atoto? mwambie mwezi ujao tunajiandaa kupambana na Madrid pale Bernabeu na kwa bahati nzuri mshika kibendera ameshajisalimisha kuwa kuna hongo anataka apewe ili aibebe Madrid, ila kwa bahati mbaya ndani ya hiyo siku Lionel Messi atakuwapo uwanjani.
Kaka chebi lete mipicha mpaka everlenk na mpambe wake cute b wasahau kurudi kule kwa Man U.
 
Last edited by a moderator:
Kaka PNC 1 sema tumerudi wote maana hata mimi pia nimerudi aisee hii NEC nahisi imechota laana kwa Watanzania maana wameiba haki yetu.
Nimekumiss jackline1, najua na wewe ulikuwa ktk harakati, ukimaliza uje huku nyumbani tupumzike.
Dota everlenk, umempeleka wapi mtani wako atoto? mwambie mwezi ujao tunajiandaa kupambana na Madrid pale Bernabeu na kwa bahati nzuri mshika kibendera ameshajisalimisha kuwa kuna hongo anataka apewe ili aibebe Madrid, ila kwa bahati mbaya ndani ya hiyo siku Lionel Messi atakuwapo uwanjani.
Kaka chebi lete mipicha mpaka everlenk na mpambe wake cute b wasahau kurudi kule kwa Man U.

Tukibaki hapa mtatuweza? Haha ha...
Hivi king Mess amaendelea poa eeh?
 
Last edited by a moderator:
Kaka PNC 1 sema tumerudi wote maana hata mimi pia nimerudi aisee hii NEC nahisi imechota laana kwa Watanzania maana wameiba haki yetu.
Nimekumiss jackline1, najua na wewe ulikuwa ktk harakati, ukimaliza uje huku nyumbani tupumzike.
Dota everlenk, umempeleka wapi mtani wako atoto? mwambie mwezi ujao tunajiandaa kupambana na Madrid pale Bernabeu na kwa bahati nzuri mshika kibendera ameshajisalimisha kuwa kuna hongo anataka apewe ili aibebe Madrid, ila kwa bahati mbaya ndani ya hiyo siku Lionel Messi atakuwapo uwanjani.
Kaka chebi lete mipicha mpaka everlenk na mpambe wake cute b wasahau kurudi kule kwa Man U.
daaaaaah najitahd kusahau ila cwez nami natoa tamko sasa NEC NA MABEPAR WOOOOTE NA MLAAAAAAAAAANIWE KUANZIA SASS
 
Last edited by a moderator:
daaaaaah najitahd kusahau ila cwez nami natoa tamko sasa NEC NA MABEPAR WOOOOTE NA MLAAAAAAAAAANIWE KUANZIA SASS
Aaaaaaaaaaaaameeeeen, sasa nasikia amani. Tunaweza kuchat kuhusu Barcelona yetu sasa.
 
Aaaaaaaaaaaaameeeeen, sasa nasikia amani. Tunaweza kuchat kuhusu Barcelona yetu sasa.

Yapp ni kweli ila nikiikumbuka ile saut ya kile kizee kilubuva nataman hata nipasue ule upara na vimiwani vyake maana haanzag na Edward ila na Lowasa Edward Ngoyai pumbaaaaaaaaaaavu saaaana
 
Yapp ni kweli ila nikiikumbuka ile saut ya kile kizee kilubuva nataman hata nipasue ule upara na vimiwani vyake maana haanzag na Edward ila na Lowasa Edward Ngoyai pumbaaaaaaaaaaavu saaaana

Kimekondaaa...hahahaaaa.
ARUSHA NOW KILA MTU RAISI NI LOWASA...
HATUTOVUMILIA KUMILIKIWA NA MPIGA PUSH UP
 
Kimekondaaa...hahahaaaa.
ARUSHA NOW KILA MTU RAISI NI LOWASA...
HATUTOVUMILIA KUMILIKIWA NA MPIGA PUSH UP
Sasa kama Rais ni Lowasa mbona makomeo kapata kura 65000
 
Back
Top Bottom