Red Giant
JF-Expert Member
- Mar 9, 2012
- 15,657
- 20,967
tupo mkuu tutaona. Barca wakianza kushinda kunatokeaga balaa. mnavyopanda na kufunguka ndiyo mechi tunapomaliza.Hahaha goli zinarudi hizo second half
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
tupo mkuu tutaona. Barca wakianza kushinda kunatokeaga balaa. mnavyopanda na kufunguka ndiyo mechi tunapomaliza.Hahaha goli zinarudi hizo second half
Hahahaha yataka moyo kweliKuishabikia arsenal ya Wenger inahita moyo Wa chuma hata wa aluminium hautoshi
1-1 hiyotupo mkuu tutaona. Barca wakianza kushinda kunatokeaga balaa. mnavyopanda na kufunguka ndiyo mechi tunapomaliza.
hahahahaa. enrique kabweka kidogo timu imeanza kufanya inayofanyaga.1-1 hiyo
Mimi napita kwanza arse8 siifahamuhahahahaa. enrique kabweka kidogo timu imeanza kufanya inayofanyaga.
Experts wanadai Messi hufikiria next move in nano secondsduu messi atakuwa messi tu,huyi jamaa ni hatari
Wewe ndo mimi ila nimekosa imani na bayern kidogo pale aliporuhusu Goli mbili pale kwake pia kurudishwa kwa goli mbili kule Italy.nawaogopa sana Bayern. wanamiliki na wana spidi.
Jana nilikuwa na watu nawachambulia soka nikawaambia Bayern leo ndo ilikuwa safari.juve tu walisha choka
Wakuu PNC1 ,BuenosAires&Aleyn heshima kwenu
Kwema tu nasubiri mauaji ya leo .
hahahahaa. enrique kabweka kidogo timu imeanza kufanya inayofanyaga.
duu messi atakuwa messi tu,huyi jamaa ni hatari