FC Barcelona (Barça or Blaugrana) | Special Thread

FC Barcelona (Barça or Blaugrana) | Special Thread

Mimi ni shabiki wa Barcelona damu, tangu zamani barca ikikuwa ikifungwa nikikuwa najisikia vibaya hadi kuhudhuria vipindi chuo nina cancel kesho yake (champions league matches )

Ukweli ni lazima usemwe (huu ni msimu nisiotarajia kikombe chochote)
 
michezaji mingine mingese kweli huyu gomes kapewa nafasi iniesta kuumia lakini anarukaruka sijui lucho anaokota wapi takataka zake midfield anatazama chini kama anajifunza kutembea bado lile ngese beki lake lenyewe umri mkubwa kazi kutoa maboko
 
Sasa hivi barca tuna forwards tu. Hatuna viungo wa kukaba wala mabeki. Tunakoelekea ni kubaya kwa hali hii.
RM nao hawako fresh. mechi za gjon na lisbon hawakuwa na performance ya kutupiga 4.
 
Mimi ni shabiki wa Barcelona damu, tangu zamani barca ikikuwa ikifungwa nikikuwa najisikia vibaya hadi kuhudhuria vipindi chuo nina cancel kesho yake (champions league matches )

Ukweli ni lazima usemwe (huu ni msimu nisiotarajia kikombe chochote)
mi najua ttukipata right back mzuri (asiwe kama Vidal) na Roberto akicheza kama midfielder tutakuwa hatushikiki.
 
hao real sociedad kafara waliochimbia kwenye huo uwanja itakuwa ya panya buku mzee ,sio bure yaani toka 2007 hadi leo ni mwendo kichapo au droo 😀😀😀😀😀

Sio kwa takwimu hizi
26aac43f5d974f02e10622517c7078eb.jpg
Walikuwa watamu sana jana Carlos vera alikuwa anafanya anavyotaka ila ni wa kuwaangalia kwa jicho la tatu wapo vizuri ukiingia kwao inabidi ucheze kweli.
 
mi najua ttukipata right back mzuri (asiwe kama Vidal) na Roberto akicheza kama midfielder tutakuwa hatushikiki.
Roberto ni mzuri kiungo, akiwa beki anajisahau sana, lawama zote ni kwa kocha (goli la kwanza dhidi ya Man City na liliowapa nguvu ya comeback ni udhaifu/boko toka kwake, jana goli lilitokea upande wake japo beki wengine nao walizingua )Amekuwa mzito kurudi ikitokea tumepigwa counter attack

Viungo hamna kitu, rakitic anafanya vizuri ila anachoka mapema sana, yule jamaa mwenye pank hata sijui vlitumika vigezo gani kumsajili

Madrid wakija Camp Now wakacheza kama walivyocheza na athletic,..... Mungu aepushie mbali
 
Roberto ni mzuri kiungo, akiwa beki anajisahau sana, lawama zote ni kwa kocha (goli la kwanza dhidi ya Man City na liliowapa nguvu ya comeback ni udhaifu/boko toka kwake, jana goli lilitokea upande wake japo beki wengine nao walizingua )Amekuwa mzito kurudi ikitokea tumepigwa counter attack

Viungo hamna kitu, rakitic anafanya vizuri ila anachoka mapema sana, yule jamaa mwenye pank hata sijui vlitumika vigezo gani kumsajili

Madrid wakija Camp Now wakacheza kama walivyocheza na athletic,..... Mungu aepushie mbali
Kitakuwa kipindi cha mpito kwenu mpaka kuja kupata mtu kama iniesta pale kati ni shughuli zama zile mapungufu ya back line hayakuonekana sana sababu mlikuwa mna miliki mpira muda mwingi wapeni muda vijana waweza kufikia japo nusu ya nguli wenu kama xavi na iniesta.
 
  • Thanks
Reactions: PNC
Yaani Barca anazidiwa possession? kweli sasa nimeamini Yesu atarudi tena kuwakomboa walimwengu!!!! Game ya jana tulitakiwa tufungwe.Anyway experience yangu ni kwamba lazima team someway along the line ikwame,last season tulikwama on the home straight ikawa almanusura-this time imekuja mapema hence on the home straight tutakuwa moto-Lets hope moto utaanza na el classico.Huu mpira wa jana jamaa wametutesa sana,Barca anashindwa hata ku hold mpira??
 
Yaani Barca anazidiwa possession? kweli sasa nimeamini Yesu atarudi tena kuwakomboa walimwengu!!!! Game ya jana tulitakiwa tufungwe.Anyway experience yangu ni kwamba lazima team someway along the line ikwame,last season tulikwama on the home straight ikawa almanusura-this time imekuja mapema hence on the home straight tutakuwa moto-Lets hope moto utaanza na el classico.Huu mpira wa jana jamaa wametutesa sana,Barca anashindwa hata ku hold mpira??
Afadhali hii hali imeanza mapema ili kama kuna la kuwezekana kufanyiwia kazi lifanyiwe faster. I believe the future is bright.
 
Yaani Barca anazidiwa possession? kweli sasa nimeamini Yesu atarudi tena kuwakomboa walimwengu!!!! Game ya jana tulitakiwa tufungwe.Anyway experience yangu ni kwamba lazima team someway along the line ikwame,last season tulikwama on the home straight ikawa almanusura-this time imekuja mapema hence on the home straight tutakuwa moto-Lets hope moto utaanza na el classico.Huu mpira wa jana jamaa wametutesa sana,Barca anashindwa hata ku hold mpira??


Afadhali hii hali imeanza mapema ili kama kuna la kuwezekana kufanyiwia kazi lifanyiwe faster. I believe the future is bright.


Cristiano anafunga magoli ya penalty, Free kick na Tap-ins tu, lakini bahati mbaya hizi tap-ins zinakuja Camp Nou this week. Que horible!
 
Cristiano anafunga magoli ya penalty, Free kick na Tap-ins tu, lakini bahati mbaya hizi tap-ins zinakuja Camp Nou this week. Que horible!
dawa yako ipo jikoni
DECEMBER 3
 
Corinthians have sent a formal request to the CBF asking for Chapecoense to be exempt from Serie A relegation for the next three seasons.

All Serie A clubs have agreed to the request, which also includes free loan signings for Chapecoense for the 2017 season.
A minute's silence will be held before kick-off tonight, with both clubs wearing black armbands as a mark of respect #ForçaChapecoens

[emoji120]
PSG have informed FIFA that they will donate €40 million to Chapecoense. Fantastic gesture. (Source: Various)
 
LEO NI TUKO UWANJANI KOMBE LA MFALME 16BORA

MECHI ITAKUWA UGENINI

HERCULES vs BARCELONA

saa 6 usiku E.A.T

Madrid wajiandae December 3
 
Denis: "It'd be incredible to play in Clasico. Any player or anyone who loves football knows it has always been the best match in the world"
Denis: "All teams want to look like Barcelona. Here there are the best players in the world. Barcelona sets the example for how we play."
 
Coutinho: "Obviously there are others at Real Madrid too, like Cristiano Ronaldo, but those three (MSN) complete each other" [HASHTAG]#fcblive[/HASHTAG]
 
Coutinho (Liverpool): "Top 3 players in the world? My top three players in the world are the MSN trio"
 
Back
Top Bottom