Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
umechanganyikiwa wewe, who is that hell coutinho??Coutinho: "Obviously there are others at Real Madrid too, like Cristiano Ronaldo, but those three (MSN) complete each other" [HASHTAG]#fcblive[/HASHTAG]
Huko England,website si zipo? si unaona live tuHabari zilitoka ni kwamba mechi pendwa ya El Classico haitaonekana Live kwenye Tv za England. Mechi hii itachezwa Dec 3 na kutokana sheria za kurusha matangazo live siku hiyo inafanya mechi hii isiruke Live ndani ya England.
Sheria zinasema kwamba hairuhusiwi mechi yoyote kurushwa live kati ya 2:45pm na 5:15pm kwa siku hiyo.
zaidi ya nchi 100 watashuhudia mechi hii ambayo inawahusisha mastaa Ronaldo na Messi.
Sky Sport wataonyesha full mechi lakini watachelewa muda kidogo tofauti na kama inavyotokea live duniani kote. Rais wa La Liga alisem,“Mechi haitaonyeshwa Live ndani ya England kutokana na katazo lililo kwenye kurusha mechi live kwa muda huo. Tulikua na nafasi tatu kwa ajili ya mechi hii ambayo ni 1pm,4:15pm na 6:30pm. Baada ya kuongea na washauri wetu wametuambia tucheze kucheza 6pm itakua imechelewa sana kwa Asia na 1pm itakua mapema sana kwa America.”
“So tumechagua 4:15. Uchaguzi wa muda ni muhimu kwa kujali idadi kubwa ya watu watakao kuwa affected. Asia na America ni muhimu kuzingatia kutokana na idadi kubwa ya watu na angala ni muda fair kwa kila mpenda soka duniani.”
Mechi hii pia itawakutanisha makocha ambao waliwai kuwa wachezaji kwenye El Classico mechi za zamani.
Most goals in the history of Clasicos: Messi (21), Di Stefano (18), CR (16), Raul Gonzalez (15), Cesar Rodriguez (14), F.Puskas (14).
Coutinho (Liverpool): "Top 3 players in the world? My top three players in the world are the MSN trio"
Ziulize beki za yokobus zinamjuaumechanganyikiwa wewe, who is that hell coutinho??
Mimi naona tulifanya kosa kumuuza Thiago Alcantara, na tulikosea zaidi kumleta Cesc kipindi kile, zama hizi ndo angesajiliwa.Yaani Barca anazidiwa possession? kweli sasa nimeamini Yesu atarudi tena kuwakomboa walimwengu!!!! Game ya jana tulitakiwa tufungwe.Anyway experience yangu ni kwamba lazima team someway along the line ikwame,last season tulikwama on the home straight ikawa almanusura-this time imekuja mapema hence on the home straight tutakuwa moto-Lets hope moto utaanza na el classico.Huu mpira wa jana jamaa wametutesa sana,Barca anashindwa hata ku hold mpira??
Tunamchapa kama goli 5 hivi.Leo Barcelona tutakachomfanya Real Madrid hatoamini macho yake
Povu umemwaga weweHaka ka thiredi uchwara kamejaa comparizoni za nessi na mmorocco, ina maana hamna kingine cha kujadili?????
[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23]
Nasubiri mapovu
Nakuonea huruma. Ngoja nikupe pole mapemaPovu umemwaga wewe
Tukutane SAA 12 Camp Nou
Kitu atakachofanyiwa Zizu hatoaminiNakuonea huruma. Ngoja nikupe pole mapema
[emoji12] endelea kujifariji mtaniKitu atakachofanyiwa Zizu hatoamini