FC Barcelona (Barça or Blaugrana) | Special Thread

FC Barcelona (Barça or Blaugrana) | Special Thread

5184930815b1bc3d98362ee21523d15a.jpg
 
  • Thanks
Reactions: PNC
Huyu dogo wamwache aende, asije akagawa wachezaji watakaobaki -ameona atafute mgeni ili aweze ku-air out his frustration

Hii situation imenifanya niamini neymar ana degree Fulani ya unafiki. Juzi hapa alikuwa anapiga kelele Barca wamwongezee Messi mkataba ili wasimuuzi kumbe ana hesabu zake.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Uyu neymar asepe 2 maana taarifa zake sshivi zinaboa 2...af barca nao drama nyingi afu action chache eti sasahivi tunamtaka hazard
 
  • Thanks
Reactions: PNC
Semedo wamegombana na neymar Leo mazoezini
Kwa sababu ya utoto wa Neymar
Halafu Bartmeo anasubiria nini kumuuza huyu mtu asepe eti ooh...anacheza chini ya shadow ya Messi ,wakati anahama santos hakujua kuna Messi?Messi alikua na Ball on Dor 4 kabla Neymar hajafika mbaya zaidi mwaka 2012-2013 alifunga goal 92 kabila hata ya mbrazil hajakuja
Assumption za watu wengine hazina kichwa wala miguu
 
  • Thanks
Reactions: PNC
huyu Neymar aende tu anatakiwa kufahamu BARCELONA ni kubwa zaidi yake na alipita MARADONA RIQUELME RIVALDO KLUIVERT RONALDINHO XAVI na hadi sasa KING MESSI sembuse yeye mchambawima AENDE TU ASIJETENGENEZA MATABAKA AKADHOHOFISHA TIMU
 
Neymar hata akibaki Barca,things will never be the same-afueni yake itakuwa labda timu ina perform vibaya basi inabidi acheze.Hivi sasa anasubiri kama PSG wanaweza go around the financial fair play regulations-ikishindikana they will not trigger clause ya kumuhamisha-he will then come out and say I never said I wanted to go-lets pray PSG find a way ya kuizunguka hii sheria-haiwezekani one person analeta havoc katika club.
 
Kwa sababu ya utoto wa Neymar
Halafu Bartmeo anasubiria nini kumuuza huyu mtu asepe eti ooh...anacheza chini ya shadow ya Messi ,wakati anahama santos hakujua kuna Messi?Messi alikua na Ball on Dor 4 kabla Neymar hajafika mbaya zaidi mwaka 2012-2013 alifunga goal 92 kabila hata ya mbrazil hajakuja
Assumption za watu wengine hazina kichwa wala miguu
I told you Rosell & Batromeu walifanya makosa kumsajili Neymar na kibaya zaidi anaendelea kuharibu image ya Barcelona
 
Nimeona ka video. Semedo aliamua kujiondokea dogo kataka kumfuata. Mara kavua jezi na kuanza jupiga mpira. Huyu dogo tukibaki naye atatuletea picha mbaya. Naanza kutilia shaka msemo wa nobody is bigger than barca.
 
huyu mtoto mswahili kama anakaa tandale lete paulo dybala mvaa soksi fupi halafu wale mbwa tuwape huyo fala watupe verrati na hizo hela
 
Back
Top Bottom