FC Barcelona (Barça or Blaugrana) | Special Thread

FC Barcelona (Barça or Blaugrana) | Special Thread

karma is b!tch
licha ya kuipenda barcelona
ila naipenda zaidi Arsenal yangu
ndio maana kila msimu nitanunua Jersey ya timu yangu
ila Barcelona mliigeuza academy mkawa mnatuchukulia key players tangu gio hadi tom
ule ulioniumiza ni wa cesc japo chogo aliondoka ila sababu zilieleweka
round hii mjue machungu maana mnamnyatia bellerin ila mmempoteza Neymar

mbaya zaidi kanunua mkataba
Neymar hamuwezi messi
ila ronaldo hamuwezi neymar

baada ya figo anafuata neymar kwa kuchukiwa barcelona
ila tambua usajili wa neymar utaziumiza baadhi ya timu zetu pendwa epl
Aisee mkuu rekebisha hapo juu hata kama mimi sio fan wa Madrid Neymar hauwezi kumfananisha na CR7 ,Angekua na sifa hizo tusingemuachia tungemuongezea dau ,hata namba ya tuzo zao na statistics zao zinakupa picha halisi
 
karma is b!tch
licha ya kuipenda barcelona
ila naipenda zaidi Arsenal yangu
ndio maana kila msimu nitanunua Jersey ya timu yangu
ila Barcelona mliigeuza academy mkawa mnatuchukulia key players tangu gio hadi tom
ule ulioniumiza ni wa cesc japo chogo aliondoka ila sababu zilieleweka
round hii mjue machungu maana mnamnyatia bellerin ila mmempoteza Neymar

mbaya zaidi kanunua mkataba
Neymar hamuwezi messi
ila ronaldo hamuwezi neymar

baada ya figo anafuata neymar kwa kuchukiwa barcelona
ila tambua usajili wa neymar utaziumiza baadhi ya timu zetu pendwa epl
Ha ha ila nimependa mwisho EPL hata nyinyi tumewapa favor yule Sanchez mbona mlimchukua kwa fedha ya madafu tu

But now katika speculations zetu hawa hapa tuna wa screen

Coutinho,Hazard,Alex Sanchez (back) na Metsu Ozil
 
Leo unayasema hayo maneno kwakua anahama?
Real Madrid wamemkosa morata,lakini morata ana replacement kibao sokoni ,ila neymar nje ya barca in ronaldo pekee anayeweza kuwa perfect replacement.acheni kujifriji kwamba mnaweza kufanya replacement Kwa neymar

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Screenshot_2017-08-04-09-46-28.png

Ha ha ukiwa Madrid always ni Madrid cheki hii picha David Bekham jinsi alivyo like

Lakini nakumbuka wakati Robinho anatoka Spain kwenye jiji la Manchester alimsihi kuwa jiji la Manchester anaijua team moja tu ya Man U na sio Man city

Ukitoka club kubwa kama Barcelona unapiga backwards movement hela itakufariji siku mbili tatu
 
Real Madrid wamemkosa morata,lakini morata ana replacement kibao sokoni ,ila neymar nje ya barca in ronaldo pekee anayeweza kuwa perfect replacement.acheni kujifriji kwamba mnaweza kufanya replacement Kwa neymar

Sent using Jamii Forums mobile app
Sisi ndio wenye team na tunijua team yetu Neymar ana replacement kibao nilisema hata kabla hajaondoka mkuu nakushangaa leo hii Neymar unam crown kama third player naada ya Messi na CR7 au kwa sababu anaondoka?we unasahau league ya Balle kuwa Madrid ndo wanaamini ni third player after Messi na ?Ronaldo au ni ile design nyoka mwenye pande mbili nashangaa sijui umesahau nikukumbushe kuwa Bol On Dors za mwaka jana Neymar hakuwepo hata list ya wachezaji 10 bora?

Hivi Barca ya 5-0 Madrid Neymar alikuwepo ,kwa walioanza kupenda mpira zamani tulisikitika siku Xavi anaagwa na tutalia sana siku Iniesta na Messi au Basquets wakiondoka Barcelona

Over
 
View attachment 557586
This picture talks alot ha ha ha
Huwezi kukikwepa kivuli cha Messi kama umezaliwa kwenye era hii yake labda unywe sumu ufe fasta then uzaliwe upya hata Ronaldo analijua hilo

Kitendo cha kuzaliwa tu wakati Messi anacheza mpira is a big mistake ingekua inawezekana ingerudi unakotokea

Sasa Messi atacheza natural position yake kama hajagunga goli kuanzia 80 ,labda aumie
tatizo messi ameshazeeka kiwango chake kinaelekea ukingoni Neymar ndio alikuwa mrithi wake ndio huyooo ametimka hahahahaha
 
Poleni sana Barca i know how it feels najua mnatafuta kila neno mjifariji kwa msiba huu ila ukweli unabaki mmeonja ladha ya sifongo kwa kikombe kile kile ambacho mnatumia kuwanyweshea wenzenu,Neymar kuondoka ni habari ila kununua mkataba wake ni habari ya kusisimua na ni dharau kubwa kwa Barca na kwa jinsi dogo alivyowahenyesha kwenye zoezi la kumtoa Brazil amefanya damage kubwa so far naamini mtajifunza kitu kwenye kuwalinda key players wenu.
Nawashauri ni bora mlie kwa sauti na mpaka machozi yaishe itapunguza maumivu ila kujifariji kua Neymar sio pengo ni unafiki,hakuna wa kuziba pengo hili kwa sasa maana baada ya CR7 na Messi anafuata Neymar niwatakie kila la heri kwenye zoezi la kwenda kuwaumiza wanyonge maana hasira zenu kuna timu zitamwaga machozi pia.
CR7 hawezi mzidi Neymar kiwango.
 
CR7 namaanisha Christian Ronaldo inawezekana hatujaelewana,itakua vema ukizijua records zao kwanza ndio urudi na hoja zako.
Records zinaweza kukumislead. Angalia mpira uwanjani. Magoli siyo kila kitu, mchezaji mzuri akicheza position isiyo ya kufunga/kufunga sana kwenye records ataonekana wa kawaida. Na mbovu kama Robaldo au Lukaku wakikaa kwenye position ya kufunga kwenye records huonekana moto.
 
Records zinaweza kukumislead. Angalia mpira uwanjani. Magoli siyo kila kitu, mchezaji mzuri akicheza position isiyo ya kufunga/kufunga sana kwenye records ataonekana wa kawaida. Na mbovu kama Robaldo au Lukaku wakikaa kwenye position ya kufunga kwenye records huonekana moto.

Duh......[emoji23][emoji23][emoji23] sawa mkuu Neymar anamzidi CR7 kiwango maana una zaidi ya mahaba.
 
Hii ndio video ambaye mchezaji wetu kipenzi Neymat Jr kabla ya terehe 01-08 ,baada yakukataliwa kupewa platform ya kuaga na Barcelona ametuaga nayo sio vibaya he was our loved player ,hajaisema vibaya barca Gudluck kwenye league 1 ,be strong pal zifuate hizo new challenges huku unapiga mkwanja ila kumbuka God wa Catalonia ni Messi kivuli chake kiko dunia nzima

 
Madrid pambaneni na hali yenu mbaya wenu kabisa ni Messi ,Neymar has never been a threat ro Los Blancos ,Messi hata perez hua anamuota usiku anakuja kumkaba na ameshajaribu 3 times ammsajiri akachemsha ,huyo Neymar muacheni PSG akae msimu mmoja tu mkimjaribu lazima aje Bernabeu najua ndio mnachokifurahia
View attachment 557585
Neymar hawezi kuja madrid kabla mkataba wake haujaisha maana pale psg hamna release clause kama spain kwa hiyo raisi wa psg anawapelekesha kama anavotaka baada ya kusaini mikataba mpaka yeye aidhinishe sio vinginevyo na kwa hivo neymar hawezi kuwachezea kamchezo kama aliowachezea barca kwa kuvunja mkataba kihuni.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
tatizo messi ameshazeeka kiwango chake kinaelekea ukingoni Neymar ndio alikuwa mrithi wake ndio huyooo ametimka hahahahaha
CR7 ndo atazeeka mapema kabla ya Messi maana wametofautiana age almost 2 years 30/32
 
Back
Top Bottom