FC Barcelona (Barça or Blaugrana) | Special Thread

FC Barcelona (Barça or Blaugrana) | Special Thread

Dembele:
umri :20 (1997)
Height :1.78M
Rate:7.5
Nilichokiona mimi binafsi kwa ousmane Dembele
1.skilful (ana hold mipira)
2.position -anacheza vizuri sana no 7 ila anaweza akapiga no 11 (kama Neymar)
3.stamina (physique ) anayo sana nampa 85% tofauti na Neymar alipofika barca (alikua mwepesi sana)
4.Speed na aggressiveness nampa-90% anakimbia sana jamaa na mpira bila kuusahau nyuma
5.PLay making (goal making) nampa-90% hapa ni pamoja na pass accuracy Fifa wamempa 70%.hasa yuko good kwenye long pass

6.shooting and goal scoring nampa ratio ya 2:1 -hii factor inamtofautisha yeye na Mbappe mfaransa mwenzake hata wanapokua wanacheza national team
So nime conclude jamaa ameletwa kama playmaker ambaye ana kasi sana hasa akicheza right flank na awe anapiga pass za mwisho
For me ni replacement nzuri ya Neymar but we still need offensive midfielder Cort is the best
Vilevile Jean M seri atatufaa hasa kwenye hiyo age yake ya 25 kama mid fielder
 
Dembele:
umri :20 (1997)
Height :1.78M
Rate:7.5
Nilichokiona mimi binafsi kwa ousmane Dembele
1.skilful (ana hold mipira)
2.position -anacheza vizuri sana no 7 ila anaweza akapiga no 11 (kama Neymar)
3.stamina (physique ) anayo sana nampa 85% tofauti na Neymar alipofika barca (alikua mwepesi sana)
4.Speed na aggressiveness nampa-90% anakimbia sana jamaa na mpira bila kuusahau nyuma
5.PLay making (goal making) nampa-90% hapa ni pamoja na pass accuracy Fifa wamempa 70%.hasa yuko good kwenye long pass

6.shooting and goal scoring nampa ratio ya 2:1 -hii factor inamtofautisha yeye na Mbappe mfaransa mwenzake hata wanapokua wanacheza national team
So nime conclude jamaa ameletwa kama playmaker ambaye ana kasi sana hasa akicheza right flank na awe anapiga pass za mwisho
For me ni replacement nzuri ya Neymar but we still need offensive midfielder Cort is the best
Vilevile Jean M seri atatufaa hasa kwenye hiyo ahe yake ya 25 kama mid fielder
Mkuu seri nadhani ana 26
 
Dembele:
umri :20 (1997)
Height :1.78M
Rate:7.5
Nilichokiona mimi binafsi kwa ousmane Dembele
1.skilful (ana hold mipira)
2.position -anacheza vizuri sana no 7 ila anaweza akapiga no 11 (kama Neymar)
3.stamina (physique ) anayo sana nampa 85% tofauti na Neymar alipofika barca (alikua mwepesi sana)
4.Speed na aggressiveness nampa-90% anakimbia sana jamaa na mpira bila kuusahau nyuma
5.PLay making (goal making) nampa-90% hapa ni pamoja na pass accuracy Fifa wamempa 70%.hasa yuko good kwenye long pass

6.shooting and goal scoring nampa ratio ya 2:1 -hii factor inamtofautisha yeye na Mbappe mfaransa mwenzake hata wanapokua wanacheza national team
So nime conclude jamaa ameletwa kama playmaker ambaye ana kasi sana hasa akicheza right flank na awe anapiga pass za mwisho
For me ni replacement nzuri ya Neymar but we still need offensive midfielder Cort is the best
Vilevile Jean M seri atatufaa hasa kwenye hiyo ahe yake ya 25 kama mid fielder
Dah!
Mkuu mbona naona tena
Dortmund wanagoma wanasema deal bado negotiation zinaendelea?
 
3bea588ec1b28204df172e1270acb400.jpg


Sent using Jamii Forums mobile app
 
Humu nasubiria kuzitangaza habari za Coutinho tu basi ndani ya masaa 48 yajayo ili nikamilishe ahadi
Kwa ufupi Liverpool wanaogopa Coutinho asije akaenda kwenye media akatangaza nia yake yakuihama team wanajitahidi kila njia kumzuia pia wanamshawishi na ushindi wao wakufuzu UEFA ila Cot nafsi imeshamsuta kuendelea pale tena
Barca wakiongozwa na technical director Robert Fernandez wameenda kumchukua unajua kwa nini?

Barcelona watatoa offer ambayo Liverpool waliitaka mwanzo £150M

Kwahiyo Coutinho its a matter of time tu tayari tumeshamuweka kwenye himaya

Habari za France ni kuwa Jean Seri amepatwa na stress ya mwaka mara baada ya Barcelona kufanya naye makubaliano ya mwanzo then wakamuacha kwenye mataa kwa sababu za kiufundi (technical problem) hii imesababisha hadi asicheze match inayofuata na team yake ya Nice (Usicheze na Barca wamemuacha kwenye mataa)

Scouts wamemwagwa Europe yote tunakamisha transfer
 
Back
Top Bottom