GUI
JF-Expert Member
- Oct 15, 2016
- 1,847
- 1,300
Mkuu naona haja kuelewa lkn just cool down you barca fan.wewe jamaa ndio umechanganyikiwa au? au umekosea ku-quote?
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Mkuu naona haja kuelewa lkn just cool down you barca fan.wewe jamaa ndio umechanganyikiwa au? au umekosea ku-quote?
Daah nilikosea nilidhan yule dogo wa Madrid yule [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]wewe jamaa ndio umechanganyikiwa au? au umekosea ku-quote?
Ww ndye technical director wetu?tatzo la barcelona litatibiwa na Alcantara wala sio coutinho wamrudishe yule dogo ataziba pengo la xav
Sent using Jamii Forums mobile app
Yy n mtoa mawazoWw ndye technical director wetu?
Au ni kocha wetu?
Au ww n mke wa valverde?
Mawazo ya kishoga hatuyataki maana tunao watu makini wenye professional zao
HahahahahaMedical store department. Lazima watu wanyweshwe mkojo wa punda mwaka huu.
Atakuwa mke wa valverdeWw ndye technical director wetu?
Au ni kocha wetu?
Au ww n mke wa valverde?
Babu usi underestimate wachezaji unaweza kuta Paulinho is better than your monkey Balle .Nyie mbona hamumzungumzii Bale na Benzema vipusa butu vibisa vya madrid
Mashabiki wa Madrid na Manchester united wengi wao ni mashogaVipusa butu wamekupiga nje ndani in a matter of 3, tena sio bao 5 tu walikuchezea mpira mpaka mlikuwa mnautafuta kwa tochi. Ha Ha Ha
Hujisikii raha pasipo kutaja watu unaowapendaVipusa butu wamekupiga nje ndani in a matter of 3 days, tena sio bao 5 tu walikuchezea mpira mpaka mlikuwa mnautafuta kwa tochi. Ha Ha Ha mpaka hawa wakina Aleyn wakakimbia jukwaa ndio wanaoneka leo
Mashabiki wa Madrid na Manchester united wengi wao ni mashoga
Tumewahi kuwafunga mara ngapi nakushangaa una make headlines kwa team yakuunga unga,mwaka juzi November hamkukaa 4 mbona hatujapiga kelele au ndo ile design kipofu kaona mweziVipusa butu wamekupiga nje ndani in a matter of 3 days, tena sio bao 5 tu walikuchezea mpira mpaka mlikuwa mnautafuta kwa tochi. Ha Ha Ha mpaka hawa wakina Aleyn wakakimbia jukwaa ndio wanaoneka leo
Ha ha ha ha ha ha ha ha dah, kitambo sana sijatokea kwenye thread ya Madrid
Tumewahi kuwafunga mara ngapi nakushangaa una make headlines kwa team yakuunga unga,mwaka juzi November hamkukaa 4 mbona hatujapiga kelele au ndo ile design kipofu kaona mwezi
Mkuu unaifunga Barca ya Gomes na Vidal na kuanza kujisifu!!Vipusa butu wamekupiga nje ndani in a matter of 3 days, tena sio bao 5 tu walikuchezea mpira mpaka mlikuwa mnautafuta kwa tochi. Ha Ha Ha mpaka hawa wakina Aleyn wakakimbia jukwaa ndio wanaoneka leo
Mkuu unaifunga Barca ya Gomes na Vidal na kuanza kujisifu!!
Ha ha ha tangu 2011 Madrid ndo aliongozi possession match ya 2nd leg supercupKama umepigiwa mpira mpaka unautafuta kwa tochi na timu ya kuungaunga, basi ujue timu yako ndio mahututi kabisa
Ha ha ha tangu 2011 Madrid ndo aliongozi possession match ya 2nd leg supercup
Kwahiyo sikulaumu unavyoshangilia ila league tumeshaanza