Richard
JF-Expert Member
- Oct 23, 2006
- 15,692
- 23,038
Roberto Aquilani hana ubavu sana wa kucheza kwenye midfield na ndio maana hakucheza sana pale Liverpool.
Sijui ni kwanini hakumwingiza Emanuelson au Pato ambayo ni attacking minded.
Ibrahimovic nae alitakiwa aanze kkwa kukaa bech na Pato angeanza.
Hii game ni ngumu kwa AC Milan. watafukuza sana upepo.
Anyway 15 minutes to go.
Sijui ni kwanini hakumwingiza Emanuelson au Pato ambayo ni attacking minded.
Ibrahimovic nae alitakiwa aanze kkwa kukaa bech na Pato angeanza.
Hii game ni ngumu kwa AC Milan. watafukuza sana upepo.
Anyway 15 minutes to go.