Tafuta Hela
JF-Expert Member
- Mar 15, 2022
- 1,546
- 2,983
Niwatishe
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hawa tukikutana nao mext time, wanaweza kukimbia uwanja. Nawatamani sana tupangwe nao next season!
Mimi nasubiri final score nione nasikia atakula 4-2 Kwa mjibu WA Khadija MtalameMnafiligiswa tu huko na Frankfurt
Labda 4-3. Maana wajerumani wanaongoza 3 huku.Mimi nasubiri final score nione nasikia atakula 4-2 Kwa mjibu WA Khadija Mtalame
Tim ilikuwa na morali Tu,lkn makelele kama yotebora hizi kenge zimetoka.
[emoji1787][emoji1787][emoji1787]daah eti barceNYETO [emoji23][emoji23][emoji23]
Kenge zilibebwa zaidi ya dakika 10 zote za nyongeza kipindi cha pili daaah....[emoji28]bora hizi kenge zimetoka.
Huu muandiko huu wa #king gwaba kabisa.Yani washabiki wa Barcelona wanavyolalamika utadhani hawajui asili yao ya kuwa Mediocre.
Yani ule upepo was miaka 8 uliowapitia kuanzia 2006 mpaka na 2014 ndiyo wanajiona Timu kuuubwaaaa.
Niwakumbushe tu kuwa hakuna kilichoharibika hapo wala hakuna cha ajabu just mumerudi tu kwenye default yenu ya kabla 2006.