Murashani GALACTICO
JF-Expert Member
- Feb 27, 2012
- 2,511
- 5,390
Kama inter anakwenda camp nou anajipigia je buyèrn munchen aje awafanyeje umbwa nyie. Futuhi ueropa inawqhusu tena
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Mjiandae kwenda futuhi tuuNipeni matokeo
Kwann mkuu!?Mjiandae kwenda futuhi tuu
3:3Kwann mkuu!?
Nipeni matokeo ya Jana wapendwa!
Ndimi katibu wa masanja!
Tambua hili, inter ni ngumu kuliko bayernKama inter anakwenda camp nou anajipigia je buyèrn munchen aje awafanyeje umbwa nyie. Futuhi ueropa inawqhusu tena
Bayern ipi unaiongelea hii hii bayern ya akina Leroy sane, sadio mane na akina Musila. Emu ngoja wajerumani waje hapo camp nou kuwapaka kilainishi mwende futuhi.Tambua hili, inter ni ngumu kuliko bayern
Kwasababu kwa mfumo wa xavi ni ngumu kuziattack timu zinazodefend low block na kuweka mtu tano nyuma.
Ndomaana hata mallorca alistruggle.
Bayern ana uwezekano wa kupigwa camp nou
Kinachoiponza barca saivi ni beki mbovu kutokana na majeruhi....ila Bayern ni wachumba sana saiv hawafiki popote UEFABayern ipi unaiongelea hii hii bayern ya akina Leroy sane, sadio mane na akina Musila. Emu ngoja wajerumani waje hapo camp nou kuwapaka kilainishi mwende futuhi.
Daaa hivi bayern na barca nani anakuwaga mchumba kwa mwenzake maana naona kumbukumbu umepoteza vileKinachoiponza barca saivi ni beki mbovu kutokana na majeruhi....ila Bayern ni wachumba sana saiv hawafiki popote UEFA