Mcqueenen
JF-Expert Member
- Nov 2, 2019
- 6,843
- 11,702
Usiishi kwa historia mkuu...kihistoria hata madrid ni mchumba kwa barcaDaaa hivi bayern na barca nani anakuwaga mchumba kwa mwenzake maana naona kumbukumbu umepoteza vile
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Usiishi kwa historia mkuu...kihistoria hata madrid ni mchumba kwa barcaDaaa hivi bayern na barca nani anakuwaga mchumba kwa mwenzake maana naona kumbukumbu umepoteza vile
Tumezishuhudia saba zikija Camp nou ndani ya miaka isiozidi 12, hizo hazitushtui kabisa sisi!Mnakaribishwa kuangalia balloon dor ya Benzema [emoji23][emoji23][emoji23]
Nyingiñe zilikuwa za mchongo tuu. Frank Ribery na Lewandoski walinyimwa tuzo zao ili FIFA na ADIDDAS wampe mtu waoTumezishuhudia saba zikija Camp nou ndani ya miaka isiozidi 12, hizo hazitushtui kabisa sisi!
Toka aje mapunye kirikuu hapo barcenyeto Ni Nani ameshinda hyo Ballon dor tofauti na huyo kirikuu sisi tuna modric na BenzemaTumezishuhudia saba zikija Camp nou ndani ya miaka isiozidi 12, hizo hazitushtui kabisa sisi!
🤣🤣🤣Barcenyeto View attachment 2378210
Araujo Christensen wote majeruhi beki tegemezi sasa hivi ni kounde ambae nae ametoka kwenye majeruhi juzi tu hapo.Alonso leo ndo beki yenu ya kati. Aseee nawaombea mpate matokeo ila defenders wenu mdebwedo sana asee na hamjasajili
Hapo sasa ndo mtajua hamjui mnasajili kama yanga beki kule nyuma imekuwa tenga la nyanya matundu mengi aseee mwaka huu mtaloweshwa sana magoliAraujo Christensen wote majeruhi beki tegemezi sasa hivi ni kounde ambae nae ametoka kwenye majeruhi juzi tu hapo.
Mechi ya jana imeisha 3:0 na Kounde alikuwa beast, ni vile tu Araujo aliumia mechi zilizopita,sidhani kama inter na madrid wangetufunga kirahisi.Hapo sasa ndo mtajua hamjui mnasajili kama yanga beki kule nyuma imekuwa tenga la nyanya matundu mengi aseee mwaka huu mtaloweshwa sana magoli
Mwenzao Juve kashatangulia uropa🤣🤣🤣.Nyie barcenyeto wazee wa uropa mnaiaibisha bendera ya Spain waja laana nyie Leo ndyo mtajua hyo tuzo govi gavi alipataje [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Musiala hat trick [emoji91][emoji91][emoji91]
Naona nyie jana mliiwakilisha vyema bendera ya Spain kwa Leizpig!Nyie barcenyeto wazee wa uropa mnaiaibisha bendera ya Spain waja laana nyie Leo ndyo mtajua hyo tuzo govi gavi alipataje [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Musiala hat trick [emoji91][emoji91][emoji91]
Tulia uone bayern anavokufa leoBarcenyeto mnacheza ili iweje sasa [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Kweli mnamsajili Lewandowski,raphina kuja kucheza uropa laana ya kuiba wachezaji kwa cheltako inawatafuna [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Huna uwezo wa kumfunga Bayern kacheze uropa huko na arsenyeto huko atakuchakaza bora ukacheze conference league [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Tulia uone bayern anavokufa leo